Kama wamefanya hivyo jamani wanaharakati embu mnusuruni huyo binti apate haki zake, maana wamemdhalilisha kwa udhaifu wake. Hizi media nyingine nazo zinabidi ziwe zinafanyika semina za kuwakumbusha hasa hawa wenye talk shows.
Mbona last week wanawake live waliweka clip ya mtoto na wakamficha sura ingawa na wao walifanya makosa maana hata hao wazazi wake hawakutakiwa kuonyeshwa. Sijui kwanini bongo tunavamia fani kwa pupa....... Jamani shule, shule, shule
Very True Suzie,nami niliangali hiki kipindi,kwa kweli walichofanya sio haki ,ni udhalilishaji wa kijinsia na kupotoka kwa maadili ya uandishi,Huyu Zamaradi naye sijui katumwa au ndio kuuza sura,yaani stori kama hiyo wanamdhalilisha binti wa watu,Tena namshangaa sana akiwa kama mwanamke ndio angetumia fursa hii kuona jinsi ya kumsaidia kwani jambo kama hilo laweza kumtokea hata yeye au hata ndugu yake.Nasikitika kusema kipindi cha leo cha take one kilichorushwa na clouds TV ni kipindi cha uzalilishaji kwani wamekiuka miiko kwa kumuonyesha live binti aliyekuwa anafanyishwa mapenzi bila idhini yake.
Kama wametaka maelezo ili iwe fundisho kwa wengine ni bora wangeificha sura yake kwa shades ili watu wasimtambue. Sijui hii media kama inafanya kazi zake ki-professional kwakweli. Wakuu embu nisaidieni maana nimeshikwa na butwaa macho kunitoka kama udagaa
unategemea professionalism clouds?
Nahisi kama mmeona vizuri mi binafsi nawashukuru clouds
kumekuwa na wimbi zito la kuletewa machangudoa na kuambiwa ni ma hgirl wanatoka mbeya iringa moshi sasa kama yule unapigiwa simu yuko kituo cha basi unamkuta unamchukua utaacha kuwaacha na watoto zako huku shahawa kibao zimemwagikia na baya amekiri wazi ajatembea na condom sasa hii ni wazi muwe makini na kukimbilia ama kudanganywa kuna ma hgirl mhgirl wanatoka mikoani.....labda nikuwambie tu mi ni mpenzi sana wa samaki na firigisi pale afrika sana na bila mke wangu sijakanyaga hata kidogo hako katoto kana miaka 4 kako pale...huyo zamaradi alichofanywa ni kuingizwa chaka katokea sijui wapi kumbe ni maisha ya ueurope yamesmhinda kaamua kujiweka kwenye tv apate wasamaria wema ...nilikuw ana ma wife nikamwonyesha unamkumbuka huyu...tena awana adabu wakakikuona na mwanamke wanakaa pembeni yako sijui wanapima oil ya engine ama gearbox
muwe makini hao ndio mahgirl sasa jiulize watoto wenu mmewaacha na machangudoa majumbani wangapi???
alaf yule binti alinishangaza sana.. eti naogop kumwambia mama, akati kila mtu ameshajua tayari
Kwa wanaojua sheria, hakuna uwezekano wa huyu binti kuwashtaki hawa, kwa kumdhalilisha? Haiwezekani matatizo ya binti huyo mdogo wayatumie kuvutia watwazamaji.
Nahisi kama mmeona vizuri mi binafsi nawashukuru clouds
kumekuwa na wimbi zito la kuletewa machangudoa na kuambiwa ni ma hgirl wanatoka mbeya iringa moshi sasa kama yule unapigiwa simu yuko kituo cha basi unamkuta unamchukua utaacha kuwaacha na watoto zako huku shahawa kibao zimemwagikia na baya amekiri wazi ajatembea na condom sasa hii ni wazi muwe makini na kukimbilia ama kudanganywa kuna ma hgirl mhgirl wanatoka mikoani.....labda nikuwambie tu mi ni mpenzi sana wa samaki na firigisi pale afrika sana na bila mke wangu sijakanyaga hata kidogo hako katoto kana miaka 4 kako pale...huyo zamaradi alichofanywa ni kuingizwa chaka katokea sijui wapi kumbe ni maisha ya ueurope yamesmhinda kaamua kujiweka kwenye tv apate wasamaria wema ...nilikuw ana ma wife nikamwonyesha unamkumbuka huyu...tena awana adabu wakakikuona na mwanamke wanakaa pembeni yako sijui wanapima oil ya engine ama gearbox
muwe makini hao ndio mahgirl sasa jiulize watoto wenu mmewaacha na machangudoa majumbani wangapi???
Nahisi kama mmeona vizuri mi binafsi nawashukuru clouds
kumekuwa na wimbi zito la kuletewa machangudoa na kuambiwa ni ma hgirl wanatoka mbeya iringa moshi sasa kama yule unapigiwa simu yuko kituo cha basi unamkuta unamchukua utaacha kuwaacha na watoto zako huku shahawa kibao zimemwagikia na baya amekiri wazi ajatembea na condom sasa hii ni wazi muwe makini na kukimbilia ama kudanganywa kuna ma hgirl mhgirl wanatoka mikoani.....labda nikuwambie tu mi ni mpenzi sana wa samaki na firigisi pale afrika sana na bila mke wangu sijakanyaga hata kidogo hako katoto kana miaka 4 kako pale...huyo zamaradi alichofanywa ni kuingizwa chaka katokea sijui wapi kumbe ni maisha ya ueurope yamesmhinda kaamua kujiweka kwenye tv apate wasamaria wema ...nilikuw ana ma wife nikamwonyesha unamkumbuka huyu...tena awana adabu wakakikuona na mwanamke wanakaa pembeni yako sijui wanapima oil ya engine ama gearbox
muwe makini hao ndio mahgirl sasa jiulize watoto wenu mmewaacha na machangudoa majumbani wangapi???
Nafikiri asaidiwe jamani, embu wanasheria na viongozi wetu mliolivalia njuga suala la Lulu ifike mahali muwaone na wanyonge kama hawa
Yaani sijui nani anaongoza urushaji wa vipindi kwenye hii TV. I guess too much-know inawapelekapeleka
Hawa jamaa na radio yao hawana maadili ni kukurupuka tu