Clouds mwacheni Diamond

Clouds mwacheni Diamond

Japo sheria ni yako, ila siuachi msumeno/
Ukijikuna tako, using'ate kucha kwa meno/

Ile michambo ya diamond kwenye account yake ya IG kua hata wapunguze bei ya kiingilio iwe 500 lakini hawamuwezi.

Mbona hukufungua uzi kukemea?
Diamond yupo sahihi kabisa kusema ivo,pia alisema"Njooni muige tena na hii"..Yaani it means kuna watu wa Clouds bado wanamfuatilia,sasa kama mtu hampigi ngoma zake wale stories zake bado mnamfatilia kwanini tena?Hasa Shilawadu.
 
OK Mrs Diamond Platnumz
Hivi karibuni nimeona kwenye baadhi ya vipindi vya Clouds vikirusha madongo na kumpiga majungu Diamond Platnumz.

Ushauri wangu: Clouds kama ngoma za Diamond hampigi kuna haja gani ya kumzungumzia kitu gani kinachowafanya mteseke na Diamond.

Mbona wasanii wengi tu hampigi ngoma zao lakini hamuwazungumzii, mfano Jide inakuwaje kwa Mondi? Achaneni na Mondi, Media kama yenu kushindana na mtu mmoja inaonesha jinsi gani Media yenu ilivyoshuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom