Hivi ni kweli kwamba imeshidikana kabisa kumshusha Diamond Platnumz licha ya juhudi zote kutoka kwa haters?

data

JF-Expert Member
Apr 9, 2011
26,141
22,710
Wadau wa Burudani nianze kwa kuwasalimu Igweee...!

Thread title is clear..

Sasa nisiwachoshe... Tushee maujuzi.. Je! Ni kwanini imeshindikana kumtoa Diamond katika maintsream...

Yani ni yeye tu kila mahali....

New Hits....

Gossips...

Infortaiments...

Events....

Love zones....

Parenting....

Showbizz... and all...

Yani ni kweli kwamba wasanii, waigizaji, ma slay queens, wambeaa.. Woote wameshindwa kabisa kumchallenge Mondi!? Mnamuacha tu atawale all the Industry ya burudani!?? Hivi mnajua hela ngapi anapiga!??

Licha ya kufungiwa katka Media kuu nchini Clouds na EATV n RADIO hajayumba. !??

Hivi hizi media zilizompa ban... Hazioni ni pesa ngapi zimeshapoteza na zitaendelea poteza kwasababu tu ya wivu na chuki za kishirikina.!??

Media hizi hazijui ni jinsi gani wapenzi wa WCB wanakosa burudani kutoka kwa upande huo!??

Okayy...! Labda mlipishana kibiashara.. Je! Wasikilizaji inawahusu nini!!??

All hit songs and events are now WCB.... why dont u come down and negotiate...for the good of yourselves and Tanzanians.

Tangu mwaka huu umeanza Sijaona wa kumlinganisha na Diamond Platnumz....

Its a high time now this Man receive a special Recognition..

Ntarudi...
 
Mashabiki tunaojielew hatuhitaji msanii yoyote ashushwe bali tunahitaji wasanii wengine waongezeke zaidi ili kutuwakilisha kimataifa tuzo za mtv wenzetu wa naigeria wasanii wanaoshiriki kweny tuzo wapo zaidi ya 30 lakini sisi wasanii wetu wakimataifa wanahesabik bado tunahitaji tuwashushe ni upumbavu tu sasa game ya mziki inakoelekea ni kama inakufa sababu wasanii wengi hawana hela ya kutoa ngoma kila siku siku hizi mashabiki wanasikiliza nyimbo wiki bas wameshaichoka kwahiyo kwenda na kasi ya sasa kama wcb wasanii wengi wameanguka ata ukiangalia tu
 
Mashabiki tunaojielew hatuhitaji msanii yoyote ashushwe bali tunahitaji wasanii wengine waongezeke zaidi ili kutuwakilisha kimataifa tuzo za mtv wenzetu wa naigeria wasanii wanaoshiriki kweny tuzo wapo zaidi ya 30 lakini sisi wasanii wetu wakimataifa wanahesabik bado tunahitaji tuwashushe ni upumbavu tu sasa game ya mziki inakoelekea ni kama inakufa sababu wasanii wengi hawana hela ya kutoa ngoma kila siku siku hizi mashabiki wanasikiliza nyimbo wiki bas wameshaichoka kwahiyo kwenda na kasi ya sasa kama wcb wasanii wengi wameanguka ata ukiangalia tu
Game ya bongo flavour haifi....

Ipo na itaendelea kuepo..

Waliofikiri kwamba wameishika game na wanaiongoza wao ndo wanapotea.

Kuna wasanii wapumbavu ambao bado wako controlled na hizo media..
 
Wadau wa Burudani nianze kwa kuwasalimu Igweee...!

Thread title is clear..

Sasa nisiwachoshe... Tushee maujuzi.. Je! Ni kwanini imeshindikana kumtoa Diamond katika maintsream...

Yani ni yeye tu kila mahali....

New Hits....

Gossips...

Infortaiments...

Events....

Love zones....

Parenting....

Showbizz... and all...

Yani ni kweli kwamba wasanii, waigizaji, ma slay queens, wambeaa.. Woote wameshindwa kabisa kumchallenge Mondi!? Mnamuacha tu atawale all the Industry ya burudani!?? Hivi mnajua hela ngapi anapiga!??

Licha ya kufungiwa katka Media kuu nchini Clouds na EATV n RADIO hajayumba. !??

Hivi hizi media zilizompa ban... Hazioni ni pesa ngapi zimeshapoteza na zitaendelea poteza kwasababu tu ya wivu na chuki za kishirikina.!??

Media hizi hazijui ni jinsi gani wapenzi wa WCB wanakosa burudani kutoka kwa upande huo!??

Okayy...! Labda mlipishana kibiashara.. Je! Wasikilizaji inawahusu nini!!??

All hit songs and events are now WCB.... why dont u come down and negotiate...for the good of yourselves and Tanzanians.

Tangu mwaka huu umeanza Sijaona wa kumlinganisha na Diamond Platnumz....

Its a high time now this Man receive a special Recognition..

Ntarudi...
Kwanini unawaza sana kumshusha mtu ??

Kwanini unasumbuka sana watu wengine wakiamua kutojihisisha na kazi za mtu fulani kwasababu ya tofauti zao za kibiashara?
 
Sikutaka kumtaja Kiba kwenye main thread maana ningetukanwa sana...

Hao jamaa wana hasira kinoma..

Kila wanachojaribu fanya....goes down to waste.
🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Data, Kama ujui humu jamiiforum team kiba wapo wachache Sana tofauti na team diamond ambayo ina fans wengi.
 
Back
Top Bottom