data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,141
- 22,710
Wadau wa Burudani nianze kwa kuwasalimu Igweee...!
Thread title is clear..
Sasa nisiwachoshe... Tushee maujuzi.. Je! Ni kwanini imeshindikana kumtoa Diamond katika maintsream...
Yani ni yeye tu kila mahali....
New Hits....
Gossips...
Infortaiments...
Events....
Love zones....
Parenting....
Showbizz... and all...
Yani ni kweli kwamba wasanii, waigizaji, ma slay queens, wambeaa.. Woote wameshindwa kabisa kumchallenge Mondi!? Mnamuacha tu atawale all the Industry ya burudani!?? Hivi mnajua hela ngapi anapiga!??
Licha ya kufungiwa katka Media kuu nchini Clouds na EATV n RADIO hajayumba. !??
Hivi hizi media zilizompa ban... Hazioni ni pesa ngapi zimeshapoteza na zitaendelea poteza kwasababu tu ya wivu na chuki za kishirikina.!??
Media hizi hazijui ni jinsi gani wapenzi wa WCB wanakosa burudani kutoka kwa upande huo!??
Okayy...! Labda mlipishana kibiashara.. Je! Wasikilizaji inawahusu nini!!??
All hit songs and events are now WCB.... why dont u come down and negotiate...for the good of yourselves and Tanzanians.
Tangu mwaka huu umeanza Sijaona wa kumlinganisha na Diamond Platnumz....
Its a high time now this Man receive a special Recognition..
Ntarudi...
Thread title is clear..
Sasa nisiwachoshe... Tushee maujuzi.. Je! Ni kwanini imeshindikana kumtoa Diamond katika maintsream...
Yani ni yeye tu kila mahali....
New Hits....
Gossips...
Infortaiments...
Events....
Love zones....
Parenting....
Showbizz... and all...
Yani ni kweli kwamba wasanii, waigizaji, ma slay queens, wambeaa.. Woote wameshindwa kabisa kumchallenge Mondi!? Mnamuacha tu atawale all the Industry ya burudani!?? Hivi mnajua hela ngapi anapiga!??
Licha ya kufungiwa katka Media kuu nchini Clouds na EATV n RADIO hajayumba. !??
Hivi hizi media zilizompa ban... Hazioni ni pesa ngapi zimeshapoteza na zitaendelea poteza kwasababu tu ya wivu na chuki za kishirikina.!??
Media hizi hazijui ni jinsi gani wapenzi wa WCB wanakosa burudani kutoka kwa upande huo!??
Okayy...! Labda mlipishana kibiashara.. Je! Wasikilizaji inawahusu nini!!??
All hit songs and events are now WCB.... why dont u come down and negotiate...for the good of yourselves and Tanzanians.
Tangu mwaka huu umeanza Sijaona wa kumlinganisha na Diamond Platnumz....
Its a high time now this Man receive a special Recognition..
Ntarudi...