Clouds mjiandae kupita katika kipindi kigumu

Clouds mjiandae kupita katika kipindi kigumu

Usipotoshe watu..wote tumeona. Tusubiri huo uonevu kama upo.

Ulitaka Clouds waseme yule sio jamaa ktk CCTV?
Acheni uoga wa kijinga.
Ni sawa na mwanaume kweli ashikwe kalio halafu atulie.
Hata hivyo Ruge kamhifadhi sana Daudi Bashite! Ameamua kupotezea suala la vijana wake kuchezea kichapo kutoka kwa askari waliomsindikiza Bashite! Amemwepusha na jinai ya ujambazi kwa mtutu wa bunduki!
Usipotoshe watu..wote tumeona. Tusubiri huo uonevu kama upo.

Ulitaka Clouds waseme yule sio jamaa ktk CCTV?
Acheni uoga wa kijinga.
Ni sawa na mwanaume kweli ashikwe kalio halafu atulie.
Hata hivyo Ruge kamhifadhi sana Daudi Bashite! Ameamua kupotezea suala la vijana wake kuchezea kichapo kutoka kwa askari waliomsindikiza Bashite! Amemwepusha na jinai ya ujambazi kwa mtutu wa bunduki!
 
Waziri wa habari Nape anasema kama serikari wanalaani kwa kitendo hicho wakati huo huo raisi anaita ni udaku


Chanzo: ITV ktk taarifa ya habari muda huu
Binafsi naona kuna kukinzana katika matamko ndani ya serikari na sijui nini hatima ya hili
 
hivi manji ilikuwaje na kauli zake...!
Wakati Ruge akiwa studio asubuhi leo nilimsikia mtangazaji mmoja akitoa mfano wa msemo kuwa 'ukizoeana na mbwa atakufuata msikitini', sikuelewa alikuwa anamaanisha nini! Aliyesikia na kuelewa atupe mwanga.
 
Kipindi kigumu hata mengi kapitia bwana

Acheni kutisha watu jamani

Madaraka yana ukomo wake msiwatishe watu wakati wameonewa kabisa

Hakuna madaraka ya milele

Clouds ipo miaka 19 sasa
Unatumuia kinywaji gani mkuu? mwambie waiter akuhudumie bill juu yangu
 
...pamoja na kwamba ni vema clouds wapite hapa ili wajitambue....bado wana nafasi nzuri ya kupata faida kwenye hili saga...na njia pekee ni kufungua kesi ya kuvamiwa na mkuu wa mkoa wakiwa kazini....ushahidi upo wazi kwenye cctv camera...hivyo ni rahisi kushinda kesi hata ya madai/jinai dhidi ya bashite....hii ndio njia pekee ya wao clouds kujiweka kwenye heshima dhidi ya watawala....

...wasipofanya hivi watakuja kujuta baadae...maana tayari kuna watangazaji walipigwa mitama na vitako vya bunduki na wale polisi lakini Ruge hakulisema hili...watu wanachapwaje wakiwa kazini alafu ionekane poa tu???
 
...pamoja na kwamba ni vema clouds wapite hapa ili wajitambue....bado wana nafasi nzuri ya kupata faida kwenye hili saga...na njia pekee ni kufungua kesi ya kuvamiwa na mkuu wa mkoa wakiwa kazini....ushahidi upo wazi kwenye cctv camera...hivyo ni rahisi kushinda kesi hata ya madai/jinai dhidi ya bashite....hii ndio njia pekee ya wao clouds kujiweka kwenye heshima dhidi ya watawala....wasipofanya watakuja kujuta baadae...
Unafungua kesi, then inatajwa mwaka 2020 akishinda Ruge, mshtakiwa anakata tena rufaa mwishowe maisha yenu yote yanabaki kuwa ni kesi tu mnashindwa kufanya mambo mengine - Mahakimu huwa wanafunga masikini na wajinga tu
 
...pamoja na kwamba ni vema clouds wapite hapa ili wajitambue....bado wana nafasi nzuri ya kupata faida kwenye hili saga...na njia pekee ni kufungua kesi ya kuvamiwa na mkuu wa mkoa wakiwa kazini....ushahidi upo wazi kwenye cctv camera...hivyo ni rahisi kushinda kesi hata ya madai/jinai dhidi ya bashite....hii ndio njia pekee ya wao clouds kujiweka kwenye heshima dhidi ya watawala....

...wasipofanya hivi watakuja kujuta baadae...maana tayari kuna watangazaji walipigwa mitama na vitako vya bunduki na wale polisi lakini Ruge hakulisema hili...watu wanachapwaje wakiwa kazini alafu ionekane poa tu???
Kwanza kuchukua maamuzi ya kutoka hadharani na kuliweka wazi naona walisita sana na nahisi kutoka kwao hadharani ni ile clip ya video ndio maana hata alipoulizwa nini msimamo wa clouds akadai anasubir kuombwa msamaha na si kufungua kesi
 
Unafungua kesi, then inatajwa mwaka 2020 akishinda Ruge, mshtakiwa anakata tena rufaa mwishowe maisha yenu yote yanabaki kuwa ni kesi tu mnashindwa kufanya mambo mengine - Mahakimu huwa wanafunga masikini na wajinga tu
Nimecheka sana
 
Kipindi kigumu hata mengi kapitia bwana

Acheni kutisha watu jamani

Madaraka yana ukomo wake msiwatishe watu wakati wameonewa kabisa

Hakuna madaraka ya milele

Clouds ipo miaka 19 sasa
sema na wao waache kujikomba na siasa za bongo,huwa hazieleweki kabisa, siasa za bongo hasa za CCM huwa hazinaga urafiki au uadui wa kudumu,nadhani Shigongo na Sepenga watakuwa wamewapa somo! kipindi cha Mkwere mzee wa ukitaka kula na wewe sharti uliwe kidogo kimeshapita,CCM ya leo inajua kula tuu sio kuliwa
 
Unafungua kesi, then inatajwa mwaka 2020 akishinda Ruge, mshtakiwa anakata tena rufaa mwishowe maisha yenu yote yanabaki kuwa ni kesi tu mnashindwa kufanya mambo mengine - Mahakimu huwa wanafunga masikini na wajinga tu
...aliyekwambia inatajwa 2020 ni nani??hujui sheria we...kinachocheleweshaga kesi huwa ni kukosekana kwa ushahidi tu...kwenye hili la bashite na uvamizi wa clouds ushahidi uko intact kwenye cctv camera....na pia ushahidi wa maneno umeshatolewa na wahusika kwenye vyombo vya habari...na haujapingwa....kesi icheleweje??...kwa utawala huu dhalimu njia pekee ya kudai haki ni mahakamani....hata kama itacheleweshwa lakini itapatikana....
 
...aliyekwambia inatajwa 2020 ni nani??hujui sheria we...kinachocheleweshaga kesi huwa ni kukosekana kwa ushahidi tu...kwenye hili la bashite na uvamizi wa clouds ushahidi uko intact kwenye cctv camera....na pia ushahidi wa maneno umeshatolewa na wahusika kwenye vyombo vya habari...na haujapingwa....kesi icheleweje??...kwa utawala huu dhalimu njia pekee ya kudai haki ni mahakamani....hata kama itacheleweshwa lakini itapatikana....
Leo mahakama mnaziamini
 
sema na wao waache kujikomba na siasa za bongo,huwa hazieleweki kabisa, siasa za bongo hasa za CCM huwa hazinaga urafiki au uadui wa kudumu,nadhani Shigongo na Sepenga watakuwa wamewapa somo! kipindi cha Mkwere mzee wa ukitaka kula na wewe sharti uliwe kidogo kimeshapita,CCM ya leo inajua kula tuu sio kuliwa
Magu analiamini Jeshi tu, hawana wengine ni kuwapa battle muda wowote tu
 
Leo mahakama mnaziamini
....kwanini zisiaminike pale zinapotoa haki??....lazima ujue kuwa hata huko mahakamani kuna wanaochoshwa na udhalimu wa awamu hii....na inawabidi watoe tu haki hata kwa kuwa against mashinikizo ya watawala....udhalimu unaofanywa na awamu hii umekithiri....na unaudhi hata huko mahakamani...naona umesahau angalizo la majaji kwenye kesi mh.Lema...watu wamechoka...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom