Clouds mjiandae kupita katika kipindi kigumu

Clouds mjiandae kupita katika kipindi kigumu

....kwanini zisiaminike pale zinapotoa haki??....lazima ujue kuwa hata huko mahakamani kuna wanaochoshwa na udhalimu wa awamu hii....na inawabidi watoe tu haki hata kwa kuwa against mashinikizo ya watawala....udhalimu unaofanywa na awamu hii umekithiri....na unaudhi hata huko mahakamani...naona umesahau angalizo la majaji kwenye kesi mh.Lema...watu wamechoka...
Kwahiyo HAKI inatolewa pale tu wale unaowataka wanapokuwa wameshinda kesi
 
...aliyekwambia inatajwa 2020 ni nani??hujui sheria we...kinachocheleweshaga kesi huwa ni kukosekana kwa ushahidi tu...kwenye hili la bashite na uvamizi wa clouds ushahidi uko intact kwenye cctv camera....na pia ushahidi wa maneno umeshatolewa na wahusika kwenye vyombo vya habari...na haujapingwa....kesi icheleweje??...kwa utawala huu dhalimu njia pekee ya kudai haki ni mahakamani....hata kama itacheleweshwa lakini itapatikana....
Sio kwa serikari hii
 
Kweli maana kuna wengine wanasema shilawadu walichezea mitama japo Ruge kakataa nadhani kama ipo hiyo ndo inaonesha hali ilivyokuwepo kule ndani
Ndiyo maana mimi siamini huyo Ruge anapokataa kuwa hawakuchapwa halafu anaficha video hiyo tena baada ya kutoka polisi bila kusema huko polisi kama wamefungua jalada la upelelezi au kama ni yeye kashitakiwa au la. Ngoja tusubiri kama Gwajima anayo atatupa.
 
Ndiyo maana mimi siamini huyo Ruge anapokataa kuwa hawakuchapwa halafu anaficha video hiyo tena baada ya kutoka polisi bila kusema huko polisi kama wamefungua jalada la upelelezi au kama ni yeye kashitakiwa au la. Ngoja tusubiri kama Gwajima anayo atatupa.
Kweli yule harembi
 
Baada ya kuona mtuhumiwa kalindwa na mkulu pamoja na uongozi wa Clouds media kuthibitsha kuvamiwa na mkuu wa mkoa ikiwa ni pamoja na ushahidi wa video kusambaa bado mkulu kaona ni habari za udaku na umbea ambao watanzania wameamua kuusambaza ktk mitandao ya kijamii. Clouds mjiandae kuvamiwa mara kwa mara na serikari kwasababu mmemgusa mwana mfalme hivyo mmetangaza vita na mfalme. Ukweli hautakiwi katika hii nchi na ukiwa kinyume na serikari hii ukae tayari kuandamwa, poleni sana na hongera kwa ujasiri mlioonesha nawatakia mapambano mema.

South
Sahivi DAR MPYA ihamie Efm tu..[emoji39]
 
Yaani clouds nawapa big up sasa hivi mchunieni hasa huyo bashite urafiki wa bunduki hapana labda wa wali na maharage kituo chenu halafu mtu awapangie msiwe na nidhamu ya woga mnajua mmehamgaika vipi kuijenga clouds
 
Yaani clouds nawapa big up sasa hivi mchunieni hasa huyo bashite urafiki wa bunduki hapana labda wa wali na maharage kituo cheni halafu mtu awapangie msiwe na nidhamu ya woga mnajua mmehamgaika vipi kuijenga clouds
Walimlea wao japo nawapongeza kwa kuamua kuweka urafiki pembeni
 
Hata hivyo Ruge kamhifadhi sana Daudi Bashite! Ameamua kupotezea suala la vijana wake kuchezea kichapo kutoka kwa askari waliomsindikiza Bsshite! Amemwepusha na jinai ya ujambazi kwa mtutu wa bunduki!

Sana nasikia kuna video za kupigwa ila kazihifadhi hata bashite kajipa moyo leo kwa baba yake kumlinda ila hana amani moyoni
 
Sana nasikia kuna video za kupigwa ila kazihifadhi hata bashite kajipa moyo leo kwa baba yake kumlinda ila hana amani moyoni
Mtoto mpendwa huyo ukimgusa jua umemgusa baba
 
Dawa ni kususia matukio ya kiserkali basi.. Haitusaidi kujua ile barabara uliojenga kwa pesa yetu leo umeipitia kwa mara ya kwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom