GUGA II
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 576
- 362
Makonda alitakiwa atupe hata bomu hyo studio iteketee yote manake walizoea kuwa kasuku na kutudhihaki kwa muda mrefu sanaa,mlitakiwa mjue siasa ni nn et leo mnalalamika mnatafuta huruma kutoka kwetu na wakat anatumia studio hizo hizo kuwanyoosha wengine mliona raha sanaaa na misimu mnapigiwa mkajua mko dunia tofauti na tunayoishi,jifunzen kwa hili simamien misingi ya taaluma yenu.What goes around comes around