BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,345
Kwaio unawaogopesha??
Pale nyuma Gwajima na Mange yaani hata kwa goli la mkono hatoki.Naona wameungana na E fm kupambana na Makonda. Hii vita ni tamu sana.
Uku Ipp media kule E fm hapo kati clouds media.
Makonda achomoki.
hongera kwa kukariri vituo[emoji12]Enyi wanaume wa Dar pamoja na machadema onyesheni ubavu kwa kuandamana kumkataa mkuu wa mkoa. Tanzania hii mbabe wa vita ni Mange Kimambi peke yake nyie wengine chips yai tu. Ingekuwa watu mnajitambua saizi mngekuwa Manzese Argentina mnaelekea Jangwani then Ikulu
Na hakuna mfanyabiasha perfect 100% ila huwa serikali inavumilia tu ila mkitibuana, hakuna rangi utakayoacha kuonaHii serikari balaa kuna tetesi hotel ya familia ya Mange inapigwa mnada inadaiwa kodi
Ukifuatlia vipindi vyao toka jana baada ya Ruge kuongelea lile swala naona kama wapo huruKuna wakati fulani ili uweze kuwa huru na kuweza kujiamulia mambo yako mwenyewe.....inajitokeza PINDI UNAPOKWARUZANA NA RAFIKI YAKO.....
Baadhi ya wafanyakazi CLOUDS MEDIA wanajihisi kuwa HURU kwa kiasi fulani....
Kuna kumkubatia RAFIKI mzigo (kikwazo)..
Hakuna cha UHURU ni porojo tu za SIZITAKI MBICHI HiziUkifuatlia vipindi vyao toka jana baada ya Ruge kuongelea lile swala naona kama wapo huru
Mbona haya majibu yananipeleka dunia nyingine, unajua sisi tusiotembea huwa hatujui ukweli huu!hivi manji ilikuwaje na kauli zake...!
hahahaaa.......Tuanze kuwachunguza hawa jamaa wa clouds media kama huwa wanalipa kodi halali ya serikali!
Kama nilimsikia Ruge akichomeka alhamisi walikuwa na kikao ofisini kwao na TRA?Tuanze kuwachunguza hawa jamaa wa clouds media kama huwa wanalipa kodi halali ya serikali!
Anza ww mkuu ambatana na mange then ninafuata....[emoji23]Enyi wanaume wa Dar pamoja na machadema onyesheni ubavu kwa kuandamana kumkataa mkuu wa mkoa. Tanzania hii mbabe wa vita ni Mange Kimambi peke yake nyie wengine chips yai tu. Ingekuwa watu mnajitambua saizi mngekuwa Manzese Argentina mnaelekea Jangwani then Ikulu
Swala ni kusimamia misingi ya kazi yao kutoegemea upande flani wakiweza ktk hilo watazoeleka na kuwaweka huru pasipo kuingiliwaTamaa ya fisi,clouds hawajui wamtii nani,nanani wasimtii.Kuna makundi mawili ndani ya ccm yamezalishwa Na sekeseke la Bashite.