Clouds mjiandae kupita katika kipindi kigumu

South

JF-Expert Member
Jan 11, 2016
3,514
5,137
Baada ya kuona mtuhumiwa kalindwa na mkulu pamoja na uongozi wa Clouds media kuthibitsha kuvamiwa na mkuu wa mkoa ikiwa ni pamoja na ushahidi wa video kusambaa bado mkulu kaona ni habari za udaku na umbea ambao watanzania wameamua kuusambaza ktk mitandao ya kijamii. Clouds mjiandae kuvamiwa mara kwa mara na serikari kwasababu mmemgusa mwana mfalme hivyo mmetangaza vita na mfalme. Ukweli hautakiwi katika hii nchi na ukiwa kinyume na serikari hii ukae tayari kuandamwa, poleni sana na hongera kwa ujasiri mlioonesha nawatakia mapambano mema.

South
 
Kuna waliomshauri TL eti ajitoe katika uchaguzi kwa maana "asingeweza kushindana na serikali", aliwajibu kuwa anatumia haki yake ya kikatiba kugombea hiyo nafasi.
Fundisho hapa ni kuwa kutokuelewa haki zetu kumewafanya hata wateule kujigeuza watumwa wa watumwa.
 
Baada ya kuona mtuhumiwa kalindwa na mkulu pamoja na uongozi wa Clouds media kuthibitsha kuvamiwa na mkuu wa mkoa ikiwa ni pamoja na ushahidi wa video kusambaa bado mkulu kaona ni habari za udaku na umbea ambao watanzania wameamua kuusambaza ktk mitandao ya kijamii. Clouds mjiandae kuvamiwa mara kwa mara na serikari kwasababu mmemgusa mwana mfalme hivyo mmetangaza vita na mfalme. Ukweli hautakiwi katika hii nchi na ukiwa kinyume na serikari hii ukae tayari kuandamwa, poleni sana na hongera kwa ujasiri mlioonesha nawatakia mapambano mema.

South

HAWANA UJASIRI WOWOTE, HAWA WAMEROPOKA KABLA YA RAIS KUTOA TAMKO, SASA WATAISOMA NAMBA!!!
 
Baada ya kuona mtuhumiwa kalindwa na mkulu pamoja na uongozi wa Clouds media kuthibitsha kuvamiwa na mkuu wa mkoa ikiwa ni pamoja na ushahidi wa video kusambaa bado mkulu kaona ni habari za udaku na umbea ambao watanzania wameamua kuusambaza ktk mitandao ya kijamii. Clouds mjiandae kuvamiwa mara kwa mara na serikari kwasababu mmemgusa mwana mfalme hivyo mmetangaza vita na mfalme. Ukweli hautakiwi katika hii nchi na ukiwa kinyume na serikari hii ukae tayari kuandamwa, poleni sana na hongera kwa ujasiri mlioonesha nawatakia mapambano mema.

South
hakuan mtu aliwahi kushinda vita yake akipigana na media, media siku zote huibuka kidedea. anatakiwa aufyate mkia au la, ataingizia media pesa nyingi sana kwa habari zake hadi atajuta.
 
Mawingu wana Unyumbufu(Flexibility) mkubwa, wataendelea kufanyakazi na Makonda na maisha yataendelea. kamakweli watafuata profesionalism kitu ambacho boss Luge anacho, atakwenyehilisakata amezungumzia. Hawana namna wasifanyekazi na Makonda. Zaidi hawa watu wamefahamiana kwa miaka mingi. Anavyotakiwa Makonda ni kuomba samahani ili waendelee kufanyakazi.

Ningumusana urafiki wa Makonda na Madia ukafa ghafla kwakuwa maranyingi wanafanyakazi pamoja.
 
Tajiri hasusiwi, Clouds wakitaka batlle na serikali watakwama - Maana ukienda kuomba kibali cha tamasha unaambiwa hali ya usalama siyo nzuri, Na hali ya usalama ikikaa sawa tutawataarifu - utasubiri miaka 5. Hiyo endorsements wanayopewa na wakuu wa mikoa na ma RPC kwenye matamasha yao pia labda ikafa kibudu. Nahisi wanaweza kupata wakati mgumu kwenye mambo yafuatayo:

.......

1.KODI


2.MATAMASHA ( Ulinzi na Usalama )

3.MAADILI ( TCRA )


4.ELIMU ya Watangazaji ( Baada ya miaka 5, [ Sheria ya Habari ] )
 
Ninasikiliza clouds fm; kuanzia nyimbo zinazopigwa na wanayoongea Leo ni kama timu Mpya imeajiliwa kumbe in walewale!
Akili imewakaa sawa baada ya kutibuliwa;
My take!
Maumivu wanayoyasikia ndiyo tuyapatayo sisi daily!
*********************
PAMOJA NA YOTE NAWAPONGEZA SANA KWA UHURU WALIOUPATA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom