Clouds mjiandae kupita katika kipindi kigumu

Clouds mjiandae kupita katika kipindi kigumu

f8fd0a2d19940f5686051a08ec517d91.jpg

Mapenzi yamewaponza
 
Kitu ambacho sikuelewa kwamba jamaa alikuwa rafiki yao akishinda hapo clouds. Mkuu wa mkoa anatoa wapi muda wakushinda kwenye ofisi za clouds akipiga porojo ana mambo ya kufanya?
 
Tamasha la Fiesta na matamasha yao yanakwenda kuzikwa rasmi pia wajiandae kwa ugeni wa TRA juu ya kodi waliokuwa wanalipa kwenye matamasha yao pia kamati ya maudhui ya TCRA watakuwa wageni wao na kipindi chao cha shilawadu ndio mwisho kwani kinakiuka misingi na maadili pia XXL iko njiani kufutwa au kufungiwa

Ruge nakuonea huruma sana unakubali prince kuitwa mbwa na mtangazaji wa 360 ?? muda utaongea lakini naona ktk vita hv Clouds itakwenda kuumia zaidi ya Makonda kwani Hata mseme nini aliyemchagua ndie anayemtetea kwa jambo lolote
 
Kitu ambacho sikuelewa kwamba jamaa alikuwa rafiki yao akishinda hapo clouds. Mkuu wa mkoa anatoa wapi muda wakushinda kwenye ofisi za clouds akipiga porojo ana mambo ya kufanya?
Kazi zake nyingi alifanyia hapo clouds maana promo nyingi zimetoka hapo unaambiwa siku nyingine unakuta kawahi asubuhi tena na ndala utadhani na ye kuna daftari ana saini
 
Iliyovuja ni ya reception wakiingia na kutoka. Ile ya ndani ya chumba walimoingia hawajaitoa!
Kweli maana kuna wengine wanasema shilawadu walichezea mitama japo Ruge kakataa nadhani kama ipo hiyo ndo inaonesha hali ilivyokuwepo kule ndani
 
Tamasha la Fiesta na matamasha yao yanakwenda kuzikwa rasmi pia wajiandae kwa ugeni wa TRA juu ya kodi waliokuwa wanalipa kwenye matamasha yao pia kamati ya maudhui ya TCRA watakuwa wageni wao na kipindi chao cha shilawadu ndio mwisho kwani kinakiuka misingi na maadili pia XXL iko njiani kufutwa au kufungiwa

Ruge nakuonea huruma sana unakubali prince kuitwa mbwa na mtangazaji wa 360 ?? muda utaongea lakini naona ktk vita hv Clouds itakwenda kuumia zaidi ya Makonda kwani Hata mseme nini aliyemchagua ndie anayemtetea kwa jambo lolote
Clouds wameshafika kwenye "peak" i guess
 
Game ni pale watakapoenda kuomba Kibali cha kufanya Matamasha ( Ulinzi )
Ni muda wa Kutafuta namna ya kujiendesha pasipo kutegemea matamasha mbona IPP na wengine wanajiendesha hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom