Clouds Media muombeni msamaha Rais Samia, mmemkosea sana

WTF is going on here ? Kusherehekea birthday ni haramu kwa kutumia biblia ama huu uzi unajadili nini ?
 
Huyo aliyepost huko Clouds atakuwa kaokoteza hiyo pich kwenye groups za whatsapp pasipo kufanya uhariri
 
Hawa ni watoto yatima wa Kijiji cha Matumaini kilichopo maeneo ya St Gaspar Hotel, Kisasa, Dodoma mjini. Na picha hii kweli ni ya muda sana, nadhani waliopost picha hii hawakuwa na picha current ya tukio la leo.
Tuwasamehe tu kwa haraka zao za kutaka kuwa wa kwanza kupost picha ya HE Samia Suluhu
 
Back
Top Bottom