Walioipost wamemaanisha ni leo lkn sio.hapo kidogo nimeelewa napo ni kidogo sana.
Kwani leo kashiriki au ndo ya mwaka 2018 tu
Pamoja mkuu wewe umeniweka kwenye mstariWalioipost wamemaanisha ni leo lkn sio.
Uhuru wa vyombo vya habariHawa nao ni wapumbavu tu,sijuhi wanatafuta teuzi,na Mama kama akiwapa teuzi chawa kama hawa atakuwa anafata nyayo za yule mpenda sifa.
Sikutegemea km na wewe huwa unaandika hiviWaombe msamaha kisa nini, wakati Samia mwenyewe kajipendekeza kujitangaza kua ameshiriki chakula na watoto hao
Mleta uzi mwanzo hakuweka maelezo aliweka Picha tu.Sikutegemea km na wewe huwa unaandika hivi
Hapo sawa, haya vipi marekebisho umefanya?Mleta uzi mwanzo hakuweka maelezo aliweka Picha tu.
Sisi watu wa mwanzo wengine hatukuelewa ila baadae ndo kaelewesha.
Yanafanyika tumeongea na TCRA wamesema mabadiliko yanaweza kufanyika ndani ya siku 4. Licha ya mitandao mingine imeshafanya mabadilikoHapo sawa, haya vipi marekebisho umefanya?
WTF is going on here ? Kusherehekea birthday ni haramu kwa kutumia biblia ama huu uzi unajadili nini ?
Duh, eti nyayo za yule mpenda sifa! Akikusikia johnthebaptist na kundi lake la chawa ujue kutachimbika humuHawa nao ni wapumbavu tu,sijuhi wanatafuta teuzi,na Mama kama akiwapa teuzi chawa kama hawa atakuwa anafata nyayo za yule mpenda sifa.