Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
haya bhanaMATAGA safari hii hadi mrudi kwenu koromitje
haya bhanaMATAGA safari hii hadi mrudi kwenu koromitje
kidogo naanza kuelewaJikite kwenye kilicho ongelewa
kidogo naanza kuelewaJikite kwenye kilicho ongelewa
Una akili timamu kweli?mbona ipo vizuri au kisa wanakula kama wa kishua
Akili nimeacha geto mkuuUna akili timamu kweli?
Hakuna picha ya leo hapo.
Zote ni picha za zamani sana.
Kwa nini isiwe pictorial!!?
Hakuna namnahaya bhana
Unajua maana ya neno "Akili"Hawa nao ni wapumbavu tu,sijuhi wanatafuta teuzi,na Mama kama akiwapa teuzi chawa kama hawa atakuwa anafata nyayo za yule mpenda sifa.
Hilo ni tukio la 2018, na hiyo post yake ni ya 2018.Waombe msamaha kisa nini, wakati Samia mwenyewe kajipendekeza kujitangaza kua ameshiriki chakula na watoto hao
😂 😂 😂Mwalimu wangu alikuwa na kazi kunielewesha aisee.
Hapo sielewe mara siku ya kuzaliwa mara watoto wa kituo cha wapi mara wapi.
Dah msaada tafadhali