mwamgogwaferdinand
JF-Expert Member
- Jun 28, 2017
- 697
- 934
Dc bora Godwin Gondwe handeni.Rc bora anthon mataka.waziri bora Suleiman jaffo naomba kuwasilisha Over.
Kwani ni dhambi kumkosoa?Kiuhalisis ni kwamba mtu akishachaguliwa kuwa DC, RC au Waziri tayari huyo ni Kiongozi Bora, kwa sababu hakuna mwenye uwezo wa kuona na kuweka vigezo vya ubora wa viongozi hao zaidi ya Rais wa Nchi. Kitendo cha kuchagua DC,RC na Waziri Bora ni kumkosoa Mhe. Rais.
Ndio, ni dhambi kama hutumii njia rasmi. Kama una maoni, nenda kwenye Tovuti ya Ikulu au Idara ya Habari - Maelezo, yatoe hapo.Kwani ni dhambi kumkosoa?
Asingetolewa Mbeya kupelekwa huko nanjilinji.To me, Amos Makala has outsmarted all, he is the best.
Jana Magu alisema kuna ma DC/RC wanapenda kuonekana kwny ma tv ili waonekane wapo tu ila hakuna wanachokifanya.h
uu ni uhuni tu kuna ma dc wanapenda sana kucheza na media ila kazi hazifanyiki na hawajafanya chochote kwao ila wale madc wanaopiga kazi kimya kimya hawawezi kuonekana n,nyie hamuoni hadi sasa wa mjini ndio wanaonekana maana wanajua kucheza na kamera huu ni usanii mwingne
Hahahaa.....!!Jana Magu alisema kuna ma DC/RC wanapenda kuonekana kwny ma tv ili waonekane wapo tu ila hakuna wanachokifanya.
Mkuu rudia kusoma ulichoandika, kama hakijakuchekesha basi una tatizo la bandama.Ndio, ni dhambi kama hutumii njia rasmi. Kama una maoni, nenda kwenye Tovuti ya Ikulu au Idara ya Habari - Maelezo, yatoe hapo.
Ni kweli ila jamaa anajielewa sana, hana mbwembwe zisizo na msingi wowote.Asingetolewa Mbeya kupelekwa huko nanjilinji.
Ni kweli kwny hilo mkuu.Ni kweli ila jamaa anajielewa sana, hana mbwembwe zisizo na msingi wowote.
Naona wamesahau Waziri kivuli bora!
Hata namna alivyofanikisha Fiesta 2018 ni kigezo pia!Vigezo vinavyotumika kumpata huyo kiongozi ni vipi au jinsi gani kiongozi husika amefanikisha wizi wa kura na kunyanyasa wapinzani?