Clouds hamkomi? Diamond atawaponza

Clouds hamkomi? Diamond atawaponza

Diamond alibadilisha nyimbo yake ya my number 1 ikawa my CCM is number 1.

His number 1 amemtenda.
 
Nilikuwa nasikiliza hicho kipindi. Ni live ulitegemea watangazaji wange-guess Diamond atasema nini? Kusema ukweli huyu dogo kanishangaza sana. Unaweza vipi kutoa kauli kama hii?! Ndo kulewa sifa eti anaiambia serikali 'UTADAI VIPI KODI KWENYE HELA NILIYOPEWA NA TAJIRI, KAMA KANIKAZA JE?' Seriously?
Acha wakazwe tu maana hakuna namna yoyote
 
Magufuli aiseee ataliza wengi amemuonaaa bwana eeee lipa tu kodi mzeya au vp.
 
Hivi lara 1 bado anaendeleza kampeni yake against Diamond? Naona anaweza kupata ammunition ya ziada hapa!
Mkuu nimeona post uliyoninukuu japo umenidhalilisha ila naheshimu mawazo yako....
Kuna msemo wa kuzungu unasema "nothing is good or bad but your thinking makes it so"
Ilo neno kukazwa pengine halina maana iyo kwa anavyomaanisha yeye labda anamaanisha 'kunyonywa' kibiashara you never know


[HASHTAG]#keepflyingdiamondplatnumz[/HASHTAG]
 
Mkuu nimeona post uliyoninukuu japo umenidhalilisha ila naheshimu mawazo yako....
Kuna msemo wa kuzungu unasema "nothing is good or bad but your thinking makes it so"
Ilo neno kukazwa pengine halina maana iyo kwa anavyomaanisha yeye labda anamaanisha 'kunyonywa' kibiashara you never know


[HASHTAG]#keepflyingdiamondplatnumz[/HASHTAG]
Nimekudhalilisha au umejidhalilisha? Unaliza huoni cha ajabu mwanaume kukazwa? Put it the way you want we all know what he meant.
 
For real diamond ameongea kwa uchungu sana f coarse siwez mlaumu kwa maneno aliyoongea kwan anaonesha ni kiasi gan anadhulumiwa na kaongea on behalf f other artists
Alienda mbal sana mpaka kutishia kukihama chama
 
Itakua kajeruhiwa sana na matajiri mpaka kapata hasira,naomba tuliache uyu kijana ni msanii bora kuwai kutokea duniani na hilo neno "Kukazwa" lijumuishwe kwenye kamusi yetu haraka sana msimkoroge Simba atahamia SA.
 
Nimekudhalilisha au umejidhalilisha? Unaliza huoni cha ajabu mwanaume kukazwa? Put it the way you want we all know what he meant.

Chief usijaribu kumkosoa Simba hasa jukwaa hili maana watakuvamia,hapa Tz mashabiki wa Wema Sepetu na Simba wana akili zinazofanana wengi walistahili kua Dodoma ila majengo hayatoshi.
 
Back
Top Bottom