Kajolijo
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 3,364
- 4,618
Ndio maana nawambia kiba n mkali kuliko huyu dogo, kabika hawezi kutamka maneno ya mtoto wa form two anaesumbuliwa na barehe, uyu mondi hajakua bado.. kwaninia asijigunze kwa kaka yake aliefanikiwa kimaisha ali k, unadhan SONY wanaeza kumpa kazi mtu kama uyu, labda hao hao wauza chips mayai, pili pili kachumbali na tomato sosi...Nilikuwa nasikiliza hicho kipindi. Ni live ulitegemea watangazaji wange-guess Diamond atasema nini? Kusema ukweli huyu dogo kanishangaza sana. Unaweza vipi kutoa kauli kama hii?! Ndo kulewa sifa eti anaiambia serikali 'UTADAI VIPI KODI KWENYE HELA NILIYOPEWA NA TAJIRI, KAMA KANIKAZA JE?' Seriously?