ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,248
- 1,745
Kipindi cha jahazi kipo hewani muda huu, Diamond kaalikwa, moja ya maongezi yake, kailalamikia serikali kwamba wanadai kodi bila kuangalia wao wanavyodhulumiwa kwenye nyimbo zao, ambacho ni kweli.
Ila kakosea kwa kutoa lugha chafu ambayo haikustahili kurushwa hewani na kwa umaarufu wake hakustahili kuitamka. Cha ajabu kina Gardner na wenzake wanacheka. Huyo mtu atawaponza kwa TCRA.
thread ya kibwege!' kama ulikua huwezi kutaja hilo tusi; ungetuliza mshono tu usiandike hii thread ...........