Leo wamemuongezea mwingine anaitwa Amos shoga aliyeokoka.
Watangazaji wote wa clouds n mashoga,kwani hamlijui hili?
Heshima kwenu wakuu.
_Ni mara ya pili leo huyu dr Issack maro anawapa mashoga airtime clouds fm kwenye kipindi cha njia panda.
_kweli mi ni mpenzi sana wa hicho kipindi lakini kitendo cha kuwapa airtime mashoga kwa kweli kimenichukiza sana hadi nimezima radio.
_Huku si ndio kuhamasisha ushoga!
_Ningekuwa na uwezo ningewazimia hiyo mitambo yao!!
Kazi ipo Duh hatari hii
Leo wamemuongezea mwingine anaitwa Amos shoga aliyeokoka.
Leo wamemuongezea mwingine anaitwa Amos shoga aliyeokoka.
hivi dawa ya tatizo ni kulizungumzia jinsi gani mtalitatua au kunyamaza na ku-PRETEND KUWA HAKUNA HILO TATIZO???
nimesikiliza hiki kipindi tangu mwanzo,kuna tatizo kubwa la ushoga,hapa wameita madaktari na wanasaikolojia ambao wanapambana na hili tatizo huko mitaani.
kujidai mnakerwa na hii hali sio njia ya kumaliza hili tatizo,watoto wameharibika sana ni muda wa kukaa na kuangalia tunawasaidia vipi,kwa kweli nilikuwa najua mashoga wapo lakini baada ya kusikiliza hiki kipindi ndio nimegundua tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiria
Heshima kwenu wakuu.
_Ni mara ya pili leo huyu dr Issack maro anawapa mashoga airtime clouds fm kwenye kipindi cha njia panda.
_kweli mi ni mpenzi sana wa hicho kipindi lakini kitendo cha kuwapa airtime mashoga kwa kweli kimenichukiza sana hadi nimezima radio.
_Huku si ndio kuhamasisha ushoga!
_Ningekuwa na uwezo ningewazimia hiyo mitambo yao!!
Kuliongelea kwa njia ya kulitangaza sidhani kama ni njia sahihi maana na wale ambao wapo majumbani wataamini kuwa hicho wanachokifanya ni sahihi liongelewe na kulitafutia ufumbuzi lakini siyo kwa matangazo Redioni hii siyo sahihi kabisa