RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,508
- 135,546
Maajabu. Sijasikiliza njia panda siku nyingi. Kama imefikia mpaka kuwapa muda wa kujinadi, hii inatisha sana. Wanataka kuharakisha hii sheria ipitishwe kama Uganda.
hujasikiliza ila ume-jump kwenye band wagon eti wanawapa muda kujinadi.....hivi mnapata faida gani kupotosha vitu????
CHUKI YENU NA CLOUDS ITAWAUA.