Mjamaa masalia
JF-Expert Member
- Nov 9, 2012
- 373
- 354
Katika kipindi cha NJIA PANDA wanamuhoji shoga Aunt Suzy,dah haiingii akilini kabisa.
Heshima kwenu wakuu.
Ni mara ya pili leo huyu dr Issack Maro anawapa mashoga airtime clouds fm kwenye kipindi cha njia panda.
Kweli mi ni mpenzi sana wa hicho kipindi lakini kitendo cha kuwapa airtime mashoga kwa kweli kimenichukiza sana hadi nimezima radio.
Huku si ndio kuhamasisha ushoga!
Ningekuwa na uwezo ningewazimia hiyo mitambo yao!!