angedizzle
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 590
- 502
hatua gani wanapiga hao,au hayo mapunga humo.....................Wanavijiba vya roho, wivu umewajaa tele
Hii radio inapiga hatua na mahaters nao wanazidi kuongezeka juu ya hii radio
hatua gani wanapiga hao,au hayo mapunga humo.....................Wanavijiba vya roho, wivu umewajaa tele
Hii radio inapiga hatua na mahaters nao wanazidi kuongezeka juu ya hii radio
mwana umetumwa usikilize...???! mi nawashngaa sana mnaolalamikia hi radio ... mbona stations ipo nyingi..??
Sikiliza 100.5 Times FM
hzo ni chuki bnafsi!
watangazaji wao wengi wametokea mikoani, sio wazawa wa dar..so bado wana ulimbukeni flani na dsm.
Halafu Hiyo kinondoni wanayoipaisha Ni chafu, inanuka, uswahilni sijapata kuona.
Tafuta redio ambazo haziongelei mambo ya Kinondoni.
Hapa umemhusisha Mh.Sugu na redio hii kwanini?Nyie ndio watu ambao mnatengenezea watu bifu zisizokuwa na maana,mawingu redio inahusiana vipi na mbunge wa Kinondoni???