Clouds FM, hiki mnachofanya ni kampeni kwa CCM

Clouds FM, hiki mnachofanya ni kampeni kwa CCM

Mi mwenyewe nilishashtukia, yani ni ka vile lowasa kasema neno hilo moja tu tangu aanze mchakato wa ugombea urais.
kwani kuna kitu gani cha maana ambacho lowasa amewahi kusema tangu aanze kuzunguka? Kuna sentensi moja kakalili kila anakoenda "mapokezi haya sijawahi kuyaona popote". Kila anapoona umati wa watu popote anatumia the same statement, ama kweli maksai ni ngonjwa hadi akili
.
 
Kumbe watz tumeamka ..nilifikiria hivyo pia..hawa jamaa wanaonyesha mahaba ya dhati kwa CCM..pia hata habari za ukawa zinatangazwa sio km zinavyostahili..mfano mwanza hawakuonyesha lile nyomi..walionyesha baadhi ya wana ukawa lkn haikua rahisi kusikia wanachokisema as sauti ilikua very poor..nadhan wanatumika kuhujumu UKAWA..u don't need to hold shahada ya uzamivu to realise that...

Mwambieni mzee awakatie kidogo. Au kwani nyie mnataka tv zote zioneshe kitu kile kile kana kwamba hakuna mambo mengine yanayoendelea ktk nchi hii. Waambieni washirika wenu itv waweke kamera nyumbani kwa lowasa ili awe live 24hrs mpate kufurahi
 
kwani kuna kitu gani cha maana ambacho lowasa amewahi kusema tangu aanze kuzunguka? Kuna sentensi moja kakalili kila anakoenda "mapokezi haya sijawahi kuyaona popote". Kila anapoona umati wa watu popote anatumia the same statement, ama kweli maksai ni ngonjwa hadi akili
.

Lazima ashangae mapokez mana akiwa hukoo hakuwahi ona hawao watu, poit saa ya sera bado, inaonekana huelewi sheria za kampeni. Sera utazisikia na wee utafanya maamuz magumu tu.
 
Huyo Lowassa hana sera hata moja sasa unataka clouds wafanyaje. Yeye aendelee na kusema peoples tuone kama hao peoples watampeleka ikulu pasipo kuwa na sera nzuri
 
ktk hali hii ya kisiasa hapa nchi tunabidi tufikilie mara mbili mbili..kwa kweli cmm wamebolonga kuendesha nchi..na vyama pinzani haviongei sera za umuhimu kwanza..wanabaki kuzungumzia vya kututeka akili kwanza..najua kila mtu anapenda utajiri na maisha bora je kwa hali halisi itawezekana swala hilo?kwan kuna muheshimiwa mmoja yupo upinzani alisema atakopesha gesi kwa wageni ilitupate ajira..kwel utatoa asilimali zetu kwa mkopo kulikokuuza itunufahishe sisi wananchi..kwani ajira tutapata na mwisho wasiku tutaachiwa mashimo tu...bila asilimali..tunabidi tufikili mara mia mia..kwa nchi hii inatakiwa kiongoz wakusimamia asilimali zetu kwanza si kwamikopo bali kuuza ilituweze kujitegemea kwenye sector zote..kwani kila sector sisi wakukopeshwa tu nawageni..kwa mtazamo wangu bado hatujapata kiongozi au chama cha kutuvusha..ni mtazamo tu..
 
kwani zaidi ya kuahidi kuhonga laptop kwa walimu,magufuli ana sera gani anayoisimamia,mara kumi ya Lowassa anayeinadi sera yake ya kupambana na umaskini.mind you that sera usiifananishe na ahadi.

na sasa atahonga mbuga za wanyama na kuhamia kabisa hostel,hiyo ndiyo Sera yake
 
wanamhujumu Lowassa hata kwenye cloud tv,cloud radio kwa nini hawatoe haki kwa wagombea...yaani Lowassa ana salimia,makufuli yeye anatangaza sera!magufuli nae aseme ccm oyeeee hapo ndio haki....jamani makamanda hujuma uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
kutamka ccm oyeee mbona rahisi sana na siyo lazima magufuli atamke. Hata wewe unaweza kutamka ccm oyeee na mambo yakaisha. Waambieni itv nao watafute clip ambayo pro lowasa mtaipenda ili iwe ikitamkwa kabla ya taarifa ya habari ya itv. Lakini kwa sababu anaweza asiongee vizuri kwa sababu ya maradhi, mnaweza kurekodi sauti hata ya mtei na mkaitetea kwamba ni sauti ya fisadi lenu.
 
Huyo Lowassa hana sera hata moja sasa unataka clouds wafanyaje. Yeye aendelee na kusema peoples tuone kama hao peoples watampeleka ikulu pasipo kuwa na sera nzuri


Magufuli baada ya kuwachosha watu kwa kudai anasubiri ilani ya uchaguzi ya CCM ilileta Picha kuwa hata yeye binafsi hana Sera wala vipaumbele ndo akaibuka na kuwaonga walimu laptop. Nimesahau Magufuli Sera yake ni kusema ariselema ambayo kakaririshwa na kikwete kule Dodoma.
 
Kuna wale wachambuzi wa magazeti asubuhi, hata sijui majina yao ila lile jamaa jeusi lenye kichwa kikubwa ni shida kweli kweli, mbulula.
 
ninyi mna mwongelea bwana joseph kusaga na ruge?
Hawa ni walamba miguu wa ccm.niwa nafiki sana hawa watu. Kipindi lowassa yupo ccm hawa hawa walikua kila siku lowassa lowassa lakini leo lowassa kaamia chadema imekua nongwa kwao sasa wanajikomba kwa magufuli.


Mimi uwaga siwapendi watu wanafiki kama hawa hata watangazaji wao wamesha wa ambukiza hiki kitabia, wakina harson kamoga na samwel sasari kile kipindi chao cha 360% kimekua ni umbea umbea unafiki mtupu,

ngoja mzee wa maamuzi magumu aingie ikulu utawaona tena wanageuza mwelekeo na kutaka kumwandalia dhifa ili kujikomba komba,

tatzo lenu nyinyi wanachadema ni wajinga sana na wavivu wa kufikiria na hamjui maana ya demokrasia... hv kwann mtu mumuone mbaya akionekana yuko nyuma na matakwa yenu?? akiwa upande wenu anakua jembe, akiwa hayuko upande wenu anakua mbaya... nyie bangi znawapeleka kubaya...
 
mbona mnalia lia kwani nyie mmejipangaje???? ndorobo nyie
 
Hivi ni kweli sera bora zinatoka kwa kiongozi wa CCM??? Miaka 50 tuko nyuma miaka 100Mtu aliyekuwepo miaka 20 iliyopita atashangaa kutukuta tumerudi miaka 50 nyuma.

Hakuna media iliyohuru Na tutegemee zaidi ya hapo wakati wa kampeni.Kuna vyama havitapewa muda kwenye media na hasa TBC1.

Mwenye Clouds ni mwanacha.a wa CCM sitgemei afanye tofauti na hicho alichokifanya.
 
Wakuu Radio CloudsFM ina promo ya tangazo lao la kipindi chao kipya kuhusu siasa kuelekea uchaguzi mkuu.

Kwenye tangazo lao la kipindi hicho kipya wameweka sauti ya Magufuli akiongea kwa zaidi ya sekunde kumi akisema "maendeleo ya kweli yatatoka kwenye kiongozi anayetoka CCM"

Alafu naweka sauti ya Lowassa anasema "Peopleees zungusha zungusha"

Moya kwa moja promo hii ni kampeni ya kwa CCM maana mgombea wake ana nadi sera za chama au kujipigia debe, kama wako huru na siyo kampeni kwa ccm , walipaswa kuweka sauti ya Magufuli akisema "CCM oyeee" ili kuendana na anachozungumza Lowassa kwani Lowassa anatoa salamu ya chama na Magufuli ana nadi sera za chama.

Hili ndilo bao la mkono alilosema Nape.
Hhhhahahhahah eti peoples zungusha zungusha 😂😂😂😂😂😂😂
 
Wakuu Radio CloudsFM ina promo ya tangazo lao la kipindi chao kipya kuhusu siasa kuelekea uchaguzi mkuu.

Kwenye tangazo lao la kipindi hicho kipya wameweka sauti ya Magufuli akiongea kwa zaidi ya sekunde kumi akisema "maendeleo ya kweli yatatoka kwenye kiongozi anayetoka CCM"

Alafu naweka sauti ya Lowassa anasema "Peopleees zungusha zungusha"

Moya kwa moja promo hii ni kampeni ya kwa CCM maana mgombea wake ana nadi sera za chama au kujipigia debe, kama wako huru na siyo kampeni kwa ccm , walipaswa kuweka sauti ya Magufuli akisema "CCM oyeee" ili kuendana na anachozungumza Lowassa kwani Lowassa anatoa salamu ya chama na Magufuli ana nadi sera za chama.

Hili ndilo bao la mkono alilosema Nape.

Acha upimbavu usiwe small minded kufikiri hivyo kwa kila kitu kinachofanyika...mbona CCM hawasemi kuhusu ITV acheni upumbavu wa kijinga...kama vipi pelekeni Mtanzania na Tanzania Daima...mnakera sana lowassa kawafanya muwe watumwa kimawazo hamuwezi kufikiria kwa kutumia akili zenu...mpo kama nyumbu yaani...MNABOA
 
CHADEMA walifatilie ili suala haraka nimelisikia hilo tangazo lipo kimkakati kabisaaaaa...japo mwaka huu wananchi tumeamua si chombo cha habari wala chombo kingine kitakachoingilia maamuzi ya wananchi.
 
Back
Top Bottom