Clouds 360 wawapinga Nassari na Lema kumrekodi DC!

Clouds 360 wawapinga Nassari na Lema kumrekodi DC!

They are a bunch of idiots, kama kurekodiana hakuruhusiwi kwanini audio au video clips hutumika kama ushahidi mahakamani?! na zile za bashite alipowavamia je

well said, kama video hazikubaliki mbona walisambaza za kwao za CCTV kwenye mitandao walipovamiwa na Bashite? ujinga mtupu
 
Kideo chao kile feki kimeungwa ungwa tu.
Upinzani wao kuumizana na kusubiri kuomba pesa za mtibabu watanue nazo.

Lissu atakapo pona atakuwa amewajua.. dereva wakusaidia eti mnamfichia Kenya!!.. ha haaaa kuogopa atawatumbua... hao waondoshwe huko Kenya wanaweza kumdhuru mgonjwa zaidi
Ni watu hatari kisa kiki za siasa zisizo na ubunifu kabisaaaaa.

Familia wafukuzeni hao waliomtenda..
KAMA WAHUSIKA WANAJULIKANA IVI KAMA WW UNAVYO SEMA APA MBONA HAWAKAMATWI NA WAPO , TENA INGEKUWA NAFASI NZURI YA SEREKALI KUWEKA MAMBO HADHARANI KWA HARAKA, SITAKI KUAMINI KAMA UWEZO WA JESHI LA POLISI UNAUSHUSHA IVYO KWA KUSEMA WANAMTEGEMEA DEREVA TU KWENYE HII KESI UKO NI KULIDHALILISHA JESHI
 
kwanza kama chombo cha habari cha umma huwezi kuegemea sehemu yeyote na ndomaana nyie kwenye inshu yamakonda nashilawadu mlitaka habari ibalance sasa mbona mnaanza kutoa unbalanced news mnajipunguzia kuaminiwa na wataania vipo vyombo vyahabari vya chama serikali na umma kuweni makini
 
Mjadala unaendelea ila wanasema kitendo cha kumrekodi mtu bila ridhaa yake ni dalili za uzushi, umbea na kupungukiwa maadili kulikopitiliza. Kwa namna wanavyojadili ni kana kwamba hii tabia ya kurekodiana imevuka mizizi maana wanadai sasa hata mke na mume wanarekodiana kwa kuviziana.

Sijaelewa mambo ya mke na mme yameingiaje kwenye mjadala wa Nassari, au kuna la zaidi hapo Clouds tusilolijua?

Source kipindi cha Clouds 360!
Walimrekodi kada wa CCM na si mkuu wa Wilaya.Kuna mkuu wa wilaya ananunua madiwani wa chama pinzani?
 
Mjadala unaendelea ila wanasema kitendo cha kumrekodi mtu bila ridhaa yake ni dalili za uzushi, umbea na kupungukiwa maadili kulikopitiliza. Kwa namna wanavyojadili ni kana kwamba hii tabia ya kurekodiana imevuka mizizi maana wanadai sasa hata mke na mume wanarekodiana kwa kuviziana.

Sijaelewa mambo ya mke na mme yameingiaje kwenye mjadala wa Nassari, au kuna la zaidi hapo Clouds tusilolijua?

Source kipindi cha Clouds 360!
Kwani wewe hujui kuhusu hao wabange wawili?
 
Video za Uchunguzi hazina Ridhaa ya mtu endapo wangepata ridhaa ingeitwa Mchezo wa Kuigiza.

Kumrekodi bila kujielewa ndo inaleta uhalali wa CCTV Camera.
Now umekuwa so real mkuu thats a big big big up....

inafaa sana kama taifa kwenye nyeue tukawa wote tunasema nyeupe yan
 
hiki kipindi siku hizi kimebaki kuwa cha umbea na kujipendekeza, zamani nilikuwa nakifuatilia lkn kadri siku zinavyoenda kinakosa mvuto
kabla ya kuwalaumu hawa watangazaji lipo la kujiuliza kweli wako huru?
 
kabla ya kuwalaumu hawa watangazaji lipo la kujiuliza kweli wako huru?
Mkuu jazia hapo je ni wasomi na kama ni wasomi je wameelimika? Mi naona hawa watu wako pale kiujanjaujanja
 
Je kubwa LA maadui BASHITE lilipovamia clouds kama CCTV camera wangepataje ushahidi ?
 
pumbavu kabisa
wenyewe walvomrekodi BASHITE walpanga?
 
Clouds si wanafki tu, kwahiyo Biblia inavyosema dhambi zote zitajulikana ziwe za sirini au hadharani. Kwahiyo Mungu anavyorekodi inabidi awe anatuambia au? Waache ujingga wao. Wafanyakazi msio fika 100 mnataka kutulisha ujinga wenu, shenzi zao.
 
Who are those 360 anyway? Do they know what is involved in the investigation technology? Waache ushamba wao ndio wa mbeya. Wenzao wameondokewa na ma diwani wao kwa kisingizio na lugha hiyohiyo. What did those 360 want the commanders to do ?To say hewallah? No way. Walilazimika kutafuta hidden cameras zenye uwezo wa ku retreave information na wakaupata ushahidi. It's no wonder sinaga time kuwasikiliza wapuuzi kama hao. Inaonyesha hata uwezo wao wa kufikiri umesha expire au ubongo wao umeliwa na wadudu fulani hivi. Cha msingi wangewasaidia kwa kuwakamata hao wahusika wapelekwe mahali sta hiki ili Kutunza heshima ya taifa letu takatifu basi
 
Kama umeshaelewa basi mwambie Mod abadilishe title ya thread, maana uliiandika kwa tafsiri yako tofauti
Heading ina tatizo gani? Wao wamempinga Nassari na Lema, hayo ya Ruge na Zamaradi yameibukia huku Jf, nilichokielewa mimi ni ile mimacho na mimate yao tu!!
 
Back
Top Bottom