Clouds 360 wawapinga Nassari na Lema kumrekodi DC!

Clouds 360 wawapinga Nassari na Lema kumrekodi DC!

Kideo chao kile feki kimeungwa ungwa tu.
Upinzani wao kuumizana na kusubiri kuomba pesa za mtibabu watanue nazo.

Lissu atakapo pona atakuwa amewajua.. dereva wakusaidia eti mnamfichia Kenya!!.. ha haaaa kuogopa atawatumbua... hao waondoshwe huko Kenya wanaweza kumdhuru mgonjwa zaidi
Ni watu hatari kisa kiki za siasa zisizo na ubunifu kabisaaaaa.

Familia wafukuzeni hao waliomtenda..
Lkn muhusika amekubali kuwa ni video zake akiwa ktk shughuli za kuhamasisha maendeleo,sasa wewe unaposema zimeungwa ungwa na fake,hatukuelewi!
 
kama kuna sheria zimevunjwa sio sawa.
ila kikubwa ni kila mtu awe muadilifu kwa kadili inavyowezekana.
ukiamua kuchezea nje ya vizio vya uadilifu jiandae kisaikolojia pia kupambana na matokeo yote hasi na chanya.
 
hiki kipindi siku hizi kimebaki kuwa cha umbea na kujipendekeza, zamani nilikuwa nakifuatilia lkn kadri siku zinavyoenda kinakosa mvuto
 
Huyo Ruge kweli kuachwa kumemchanganya hadi kufikia kuagiza hao misukule yake kutapika namna hiyo
 
Kuna wakati huwa unasomeka na wakati mwingine unakuwa chenga full!
Hujamuelewa Troll,hapa ame egemea upande wa Ruge,ili ruge aonekane mwenye kosa,badala yake hoja anayo toa inampa nguvu Nassari bila kujijua
 
Mjadala unaendelea ila wanasema kitendo cha kumrekodi mtu bila ridhaa yake ni dalili za uzushi, umbea na kupungukiwa maadili kulikopitiliza. Kwa namna wanavyojadili ni kana kwamba hii tabia ya kurekodiana imevuka mizizi maana wanadai sasa hata mke na mume wanarekodiana kwa kuviziana.

Sijaelewa mambo ya mke na mme yameingiaje kwenye mjadala wa Nassari, au kuna la zaidi hapo Clouds tusilolijua?

Source kipindi cha Clouds 360!
Kwan cctv inapokurecord huwa inaomba kibali kabla ?
 
Clouds 360
Jpm ashasema sana mambo ya kurekodiana,kufatilia mawasiliano ya watu,
 
Kideo chao kile feki kimeungwa ungwa tu.
Upinzani wao kuumizana na kusubiri kuomba pesa za mtibabu watanue nazo.

Lissu atakapo pona atakuwa amewajua.. dereva wakusaidia eti mnamfichia Kenya!!.. ha haaaa kuogopa atawatumbua... hao waondoshwe huko Kenya wanaweza kumdhuru mgonjwa zaidi
Ni watu hatari kisa kiki za siasa zisizo na ubunifu kabisaaaaa.

Familia wafukuzeni hao waliomtenda..
Genye zinakusumbua wewe
 
They are a bunch of idiots, kama kurekodiana hakuruhusiwi kwanini audio au video clips hutumika kama ushahidi mahakamani?! na zile za bashite alipowavamia je
 
Video za Uchunguzi hazina Ridhaa ya mtu endapo wangepata ridhaa ingeitwa Mchezo wa Kuigiza.

Kumrekodi bila kujielewa ndo inaleta uhalali wa CCTV Camera.
Hebu tuwaulize zile record za Bashite kuvamia kituo chao walimuomba ridhaa ya kumrekodi ili aonekane alivyo ingia studio??
 
mwenye hiyo video ya mzee wa fursa akililia fursa iliopo katikati ya majapa aitupie hapa nasi tuizooom out. kumbe papuchi zetu tammm
 
Mjadala unaendelea ila wanasema kitendo cha kumrekodi mtu bila ridhaa yake ni dalili za uzushi, umbea na kupungukiwa maadili kulikopitiliza. Kwa namna wanavyojadili ni kana kwamba hii tabia ya kurekodiana imevuka mizizi maana wanadai sasa hata mke na mume wanarekodiana kwa kuviziana.

Sijaelewa mambo ya mke na mme yameingiaje kwenye mjadala wa Nassari, au kuna la zaidi hapo Clouds tusilolijua?

Source kipindi cha Clouds 360!
HII NDIO SHIDA YA WATU KUAJILIWA KWA KIGEZO CHA KUWA NA SAUTI NZURI TU WAKATI KICHWANI KUMEJAA HEWA UKAA! KWA HIYO LEO WAKAKIWEKA KIPINDI KABISA KUJARIBU KUMTETEA BOSS WAO KWANI SHILAWADU WANAVYOWASHWA KILA SIKU KUMREKODI DIAMOND NA HAMISA MOBETO NANI HUWA ANAWAPA RUHUSA!! CLOUDS 360 IMESHAANZA KUNIBOA.HASA HASSAN NGOMA NDIO BOYA KABISA.KUNA WATANGAZAZJI KAMA MASOUD KIPANYA NA MIRALD AYOO WANATAKIWA WAENDE AZAM KWANI CLOUDS NAMBA YA VIHIYO INAZIDI SIKU HADI SIKU
 
Kwa kua Ruge karekodiwa anamwaga kamasi sio wanaona watokee kwa Nassari ivi hawa watangazaji wamesomea wapi ushawahi kuona wapi Jambazi anaomba kurekodiwa au asirekodiwe Mbona wao walitoa footage za Bashite alivyovamia ofsini kwao

Hapo ndipo napochokea mimi.
 
Video za Uchunguzi hazina Ridhaa ya mtu endapo wangepata ridhaa ingeitwa Mchezo wa Kuigiza.

Kumrekodi bila kujielewa ndo inaleta uhalali wa CCTV Camera.
Hongera mkuu kwa kuwa miongoni mwa wanaojielewa.
 
Video za Uchunguzi hazina Ridhaa ya mtu endapo wangepata ridhaa ingeitwa Mchezo wa Kuigiza.

Kumrekodi bila kujielewa ndo inaleta uhalali wa CCTV Camera.
Yani we jamaa mi nakukubaligi hapo, pamoja na u CCM wako, lkn wakati flan unasimama ktk ukweli.
 
Back
Top Bottom