Clouds 360 wawapinga Nassari na Lema kumrekodi DC!

Clouds 360 wawapinga Nassari na Lema kumrekodi DC!

Mbona wanadiscuss vitu ambavyo havina relation.kwa hiyo walitaka DC aambiwe tunakurekodi, tunakuchunguza !
 
mwenye hiyo video ya mzee wa fursa akililia fursa iliopo katikati ya majapa aitupie hapa nasi tuizooom out. kumbe papuchi zetu tammm
Naomba nionjepo! huenda ukinipiga chini nitaanza kulia kama ruge
 
360 fanyeni kazi acheni kuficha maovu yanayo endelea unafikiri angekubali kurekodiwa kama angeobwa ?
 
Halafu hawa vijana wanaofanya kazi hapo kwani ni lazima mtu akiwa na tofauti na boss wao ni lazima nao wawe na tofauti naye?
 
Nimewaelewa hawa watangazaji. Wanaongea kwa tahadhari sana wasijeonekana wanafanya uchochezi. Wanaogopa kuchukuliwa hatua. Kwa lugha ya kimazingira wao wanasema zile clip ni halisi na wahusika waliyaoongea yale yaliyomo kwenye clips.
 
Ile Shilawadu huwa wanakuwa na ridhaa ya wanao warekodi?
 
Nauliza hao wanaojadili ni watu wa maswala ya kiuchunguzi??
Au ni hao mapresenter wa clouds wanaojiona wanajua kila kitu kuanzia siasa, uchumi, ukandarasi, n.k
Watulize mtori nyama zikae juu.
 
Mjadala unaendelea ila wanasema kitendo cha kumrekodi mtu bila ridhaa yake ni dalili za uzushi, umbea na kupungukiwa maadili kulikopitiliza. Kwa namna wanavyojadili ni kana kwamba hii tabia ya kurekodiana imevuka mizizi maana wanadai sasa hata mke na mume wanarekodiana kwa kuviziana.

Sijaelewa mambo ya mke na mme yameingiaje kwenye mjadala wa Nassari, au kuna la zaidi hapo Clouds tusilolijua?

Source kipindi cha Clouds 360!
Waache upuuzi wao!! Mbona hata Mukulu alitamka kuwa wamemrecord msaliti akiomba data na kitendo hicho hawakukipinga!!!!!!?????????????
Mmoja kshapewa ukuu na wenyewe wanataka!!!!!!!!!!!!!!
 
Nauliza hao wanaojadili ni watu wa maswala ya kiuchunguzi??
Au ni hao mapresenter wa clouds wanaojiona wanajua kila kitu kuanzia siasa, uchumi, ukandarasi, n.k
Watulize mtori nyama zikae juu.
Kabae, Ngoma na Sasali ambao ni wabobezi wa mijadala ya mubashara na kuonyesha kwa matendo fursa huanzia sokoni ( studio )!
 
Clouds naona wanataka kucheza mchezo mchafu. Kuna mhindi mmoja dar kabla ya kurest in peace aliwapa wosia watoto wake kuwa wasijalibu kuwa marafiki na polisi, maafisa wowote wa serikali, wanasiasa na watumishi wa Uma. AKaRIP. Watoto hawakuelewa, kilichokuja wakuta ni noma. Mfano tu kama Lugemalila, Manji,Seth mwisho wao hatari. Leo ukiwa rafiki na huyu kwesho akija mwingine utafurahi.
 
Hawa clouds wanataka kujisafisha kwa mkhulu na Bashite...hawakumbuki rais alisema kuna baadhi ya mawaziri wanalalamika na atawarecord...sijaona kosa la nassari na lema coz wamewakamata wala rushwa na watoa rushwa kwa ushahidi wa maneno na videos...so viva lema na Nassari
 
Video za Uchunguzi hazina Ridhaa ya mtu endapo wangepata ridhaa ingeitwa Mchezo wa Kuigiza.

Kumrekodi bila kujielewa ndo inaleta uhalali wa CCTV Camera.
Mkuu umeamkia wap leo?
 
Back
Top Bottom