Clouds 360 wawapinga Nassari na Lema kumrekodi DC!

Clouds 360 wawapinga Nassari na Lema kumrekodi DC!

Wao mbona walirekodi studio yao ilipovamiwa?nani aliwapa ridhaa?
 
Mjadala unaendelea ila wanasema kitendo cha kumrekodi mtu bila ridhaa yake ni dalili za uzushi, umbea na kupungukiwa maadili kulikopitiliza. Kwa namna wanavyojadili ni kana kwamba hii tabia ya kurekodiana imevuka mizizi maana wanadai sasa hata mke na mume wanarekodiana kwa kuviziana.

Sijaelewa mambo ya mke na mme yameingiaje kwenye mjadala wa Nassari, au kuna la zaidi hapo Clouds tusilolijua?

Source kipindi cha Clouds 360!
Kumbe ile video yao ya PM akivamia studio za Clouds ulikua mchezo wa kuigiza!
 
wangeleta ushahidi wa maneno matupu msingeamini ,wametoa video kabisa bado hamsadiki
 
Kideo chao kile feki kimeungwa ungwa tu.
Upinzani wao kuumizana na kusubiri kuomba pesa za mtibabu watanue nazo.

Lissu atakapo pona atakuwa amewajua.. dereva wakusaidia eti mnamfichia Kenya!!.. ha haaaa kuogopa atawatumbua... hao waondoshwe huko Kenya wanaweza kumdhuru mgonjwa zaidi
Ni watu hatari kisa kiki za siasa zisizo na ubunifu kabisaaaaa.

Familia wafukuzeni hao waliomtenda..
Wewe bwabwanya maneno yote kiisha nenda jukwaa la siasa utakuta picha za aliyempiga lisu
 
Hiyo radio ya makanjanja au unazungumzia ipi
 
Lengo ni kumtetea Ruge tu hapo... baada ya video zake akilia kusambaa...hivi sijui wanatufanya ss wajinga....Njaa Mbaya Sana
 
Kideo chao kile feki kimeungwa ungwa tu.
Upinzani wao kuumizana na kusubiri kuomba pesa za mtibabu watanue nazo.

Lissu atakapo pona atakuwa amewajua.. dereva wakusaidia eti mnamfichia Kenya!!.. ha haaaa kuogopa atawatumbua... hao waondoshwe huko Kenya wanaweza kumdhuru mgonjwa zaidi
Ni watu hatari kisa kiki za siasa zisizo na ubunifu kabisaaaaa.

Familia wafukuzeni hao waliomtenda..
Huwezi kuwa mpenzi wa ccm na bado ukawa na akili timamu.
 
Mjadala unaendelea ila wanasema kitendo cha kumrekodi mtu bila ridhaa yake ni dalili za uzushi, umbea na kupungukiwa maadili kulikopitiliza. Kwa namna wanavyojadili ni kana kwamba hii tabia ya kurekodiana imevuka mizizi maana wanadai sasa hata mke na mume wanarekodiana kwa kuviziana.

Sijaelewa mambo ya mke na mme yameingiaje kwenye mjadala wa Nassari, au kuna la zaidi hapo Clouds tusilolijua?

Source kipindi cha Clouds 360!
Kurekodiwa ni njia mojawapo ya kupata ushahidi usiokua na mashaka na hakuna mtu muovu yeyote atakupa ridhaa ya kumrekodi. Hata Nixon alipoteza urais kwa kanda za watergate zilizorekodiwa kisiri.
 
Wao walipovujisha video ya makonda ilikuwaje?
 
Video za Uchunguzi hazina Ridhaa ya mtu endapo wangepata ridhaa ingeitwa Mchezo wa Kuigiza.

Kumrekodi bila kujielewa ndo inaleta uhalali wa CCTV Camera.
Aliyetumia ID yako kwenye huu uzi ana busara kwa leo
 
Kideo chao kile feki kimeungwa ungwa tu.
Upinzani wao kuumizana na kusubiri kuomba pesa za mtibabu watanue nazo.

Lissu atakapo pona atakuwa amewajua.. dereva wakusaidia eti mnamfichia Kenya!!.. ha haaaa kuogopa atawatumbua... hao waondoshwe huko Kenya wanaweza kumdhuru mgonjwa zaidi
Ni watu hatari kisa kiki za siasa zisizo na ubunifu kabisaaaaa.

Familia wafukuzeni hao waliomtenda..
Wewe unatakiwa uisaidie polisi inaelekea unajua kila kitu.Halafu usingizia jirani.Wewe jina lako kwenye biblia una jina lijulikanavyo hivi ;BELZEBULI;
 
Back
Top Bottom