Clouds 360 wawapinga Nassari na Lema kumrekodi DC!

Clouds 360 wawapinga Nassari na Lema kumrekodi DC!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,600
Mjadala unaendelea ila wanasema kitendo cha kumrekodi mtu bila ridhaa yake ni dalili za uzushi, umbea na kupungukiwa maadili kulikopitiliza. Kwa namna wanavyojadili ni kana kwamba hii tabia ya kurekodiana imevuka mizizi maana wanadai sasa hata mke na mume wanarekodiana kwa kuviziana.

Sijaelewa mambo ya mke na mme yameingiaje kwenye mjadala wa Nassari, au kuna la zaidi hapo Clouds tusilolijua?

Source kipindi cha Clouds 360!
 
Mjadala unaendelea ila wanasema kitendo cha kumrekodi mtu bila ridhaa yake ni dalili za uzushi, umbea na kupungukiwa maadili kulikopitiliza. Kwa namna wanavyojadili ni kana kwamba hii tabia ya kurekodiana imevuka mizizi maana wanadai sasa hata mke na mume wanarekodiana kwa kuviziana. Sijaelewa mambo ya mke na mme yameingiaje kwenye mjadala wa Nassari, au kuna la zaidi hapo Clouds tusilolijua?....... Source kipindi cha Clouds 360!
WAO WALITAKAJE KWANZA... wafurahishwe wao? nadhani c clouds ni mtangazaji mmoja shabiki saaana wa yule UCHWARRRRAA...
 
Wana wazimu hao ....Sasa wao walitaka ridha itoke kwa nan ??.arf yale mambo mbona hayaendan kabsa na mambo ya mapenzi
 
Kideo chao kile feki kimeungwa ungwa tu.
Upinzani wao kuumizana na kusubiri kuomba pesa za mtibabu watanue nazo.

Lissu atakapo pona atakuwa amewajua.. dereva wakusaidia eti mnamfichia Kenya!!.. ha haaaa kuogopa atawatumbua... hao waondoshwe huko Kenya wanaweza kumdhuru mgonjwa zaidi
Ni watu hatari kisa kiki za siasa zisizo na ubunifu kabisaaaaa.

Familia wafukuzeni hao waliomtenda..
 
Kwa kua Ruge karekodiwa anamwaga kamasi sio wanaona watokee kwa Nassari ivi hawa watangazaji wamesomea wapi ushawahi kuona wapi Jambazi anaomba kurekodiwa au asirekodiwe Mbona wao walitoa footage za Bashite alivyovamia ofsini kwao
 
Kideo chao kile feki kimeungwa ungwa tu.
Upinzani wao kuumizana na kusubiri kuomba pesa za mtibabu watanue nazo.

Lissu atakapo pona atakuwa amewajua.. dereva wakusaidia eti mnamfichia Kenya!!.. ha haaaa kuogopa atawatumbua... hao waondoshwe huko Kenya wanaweza kumdhuru mgonjwa zaidi
Ni watu hatari kisa kiki za siasa zisizo na ubunifu kabisaaaaa.

Familia wafukuzeni hao waliomtenda..
Vipi ile ya Wema na mbowe nayo tuseme ni Feki nyie chama cha matapeli mlitengeneza sio
 
Au kurekodiwa kwa Ruge ndo kumezalisha haya
Kama na Ruge alirekodiwa naanza kupata mwanga kwanini wale watangazaji walikuwa wanajadili huku wamefura kwelikweli, mimacho imewatoka na kutema povu la kutosha. Kumbe mdomoni wanamtaja Nassari lakini moyoni wanamnanga huyo aliyemrekodi boss wao!!
 
Back
Top Bottom