Clouds 360 wawapinga Nassari na Lema kumrekodi DC!

Clouds 360 wawapinga Nassari na Lema kumrekodi DC!

Mjadala unaendelea ila wanasema kitendo cha kumrekodi mtu bila ridhaa yake ni dalili za uzushi, umbea na kupungukiwa maadili kulikopitiliza. Kwa namna wanavyojadili ni kana kwamba hii tabia ya kurekodiana imevuka mizizi maana wanadai sasa hata mke na mume wanarekodiana kwa kuviziana.

Sijaelewa mambo ya mke na mme yameingiaje kwenye mjadala wa Nassari, au kuna la zaidi hapo Clouds tusilolijua?

Source kipindi cha Clouds 360!

hao Clouds wana jazba boss wao Ruge amerekodiwa na Zamaradi akililia penzi.
 
Kideo chao kile feki kimeungwa ungwa tu.
Upinzani wao kuumizana na kusubiri kuomba pesa za mtibabu watanue nazo.

Lissu atakapo pona atakuwa amewajua.. dereva wakusaidia eti mnamfichia Kenya!!.. ha haaaa kuogopa atawatumbua... hao waondoshwe huko Kenya wanaweza kumdhuru mgonjwa zaidi
Ni watu hatari kisa kiki za siasa zisizo na ubunifu kabisaaaaa.

Familia wafukuzeni hao waliomtenda..
Hata wewe ni great thinker?
 
Kideo chao kile feki kimeungwa ungwa tu.
Upinzani wao kuumizana na kusubiri kuomba pesa za mtibabu watanue nazo.

Lissu atakapo pona atakuwa amewajua.. dereva wakusaidia eti mnamfichia Kenya!!.. ha haaaa kuogopa atawatumbua... hao waondoshwe huko Kenya wanaweza kumdhuru mgonjwa zaidi
Ni watu hatari kisa kiki za siasa zisizo na ubunifu kabisaaaaa.

Familia wafukuzeni hao waliomtenda..
Kipindi chote hicho wasingemshuru?,tumia akili zako vizuri hata kama ni ndogo
 
Naona kuna watu siku hizi wanaanza kujielewa. Inapendeza kama taifa katika mambo ya msingi na kweli tukawa kitu kimoja kuliko kuendeleza ule ukada wa kuita kila rangi kijani wakati wote tunaona njano.

Big up Troll JF kwa mwendo huu tunaweza kuleta mabadiliko kwa mama yetu Tanzania.
Video za Uchunguzi hazina Ridhaa ya mtu endapo wangepata ridhaa ingeitwa Mchezo wa Kuigiza.

Kumrekodi bila kujielewa ndo inaleta uhalali wa CCTV Camera.
 
Kideo chao kile feki kimeungwa ungwa tu.
Upinzani wao kuumizana na kusubiri kuomba pesa za mtibabu watanue nazo.

Lissu atakapo pona atakuwa amewajua.. dereva wakusaidia eti mnamfichia Kenya!!.. ha haaaa kuogopa atawatumbua... hao waondoshwe huko Kenya wanaweza kumdhuru mgonjwa zaidi
Ni watu hatari kisa kiki za siasa zisizo na ubunifu kabisaaaaa.

Familia wafukuzeni hao waliomtenda..

mkiwa mnachezea madole na Jery Muro ndiyo mnadanganyana huu upuuzi??
 
Kuna wakati huwa unasomeka na wakati mwingine unakuwa chenga full!
Ona hili nalo
Kideo chao kile feki kimeungwa ungwa tu.
Upinzani wao kuumizana na kusubiri kuomba pesa za mtibabu watanue nazo.

Lissu atakapo pona atakuwa amewajua.. dereva wakusaidia eti mnamfichia Kenya!!.. ha haaaa kuogopa atawatumbua... hao waondoshwe huko Kenya wanaweza kumdhuru mgonjwa zaidi
Ni watu hatari kisa kiki za siasa zisizo na ubunifu kabisaaaaa.

Familia wafukuzeni hao waliomtenda..
 
Wao walipotuonesha video yao ya cctv camera ya uvamizi WA studio walipata ridhaa wapi? Leo kwa lema na nassari imekua nongwa..!! Mkuki kwa ngurue kwa binadamu mchungu
Hebu waache kuwashwa washwa
 
Watu wakishaanza kujadili upuuzi badala ya ukweli nawadharau sana
 
hao Clouds wana jazba boss wao Ruge amerekodiwa na Zamaradi akililia penzi.
Mkuu sasa ndio nimepata picha kamili, ile mimacho na mimate ya wale watangazaji ilinishangaza sana maana ni jana tu watangazaji haohao na katika kipindi hicho hicho walikuwa wanamsifia Nassari huyohuyo ni video clips zake!!
 
Mjadala unaendelea ila wanasema kitendo cha kumrekodi mtu bila ridhaa yake ni dalili za uzushi, umbea na kupungukiwa maadili kulikopitiliza. Kwa namna wanavyojadili ni kana kwamba hii tabia ya kurekodiana imevuka mizizi maana wanadai sasa hata mke na mume wanarekodiana kwa kuviziana.

Sijaelewa mambo ya mke na mme yameingiaje kwenye mjadala wa Nassari, au kuna la zaidi hapo Clouds tusilolijua?

Source kipindi cha Clouds 360!
Unajua hii redio mawingu na TV yake huwa wanafanya mambo kwa mihemuko sana, naona nao wanaugonjwa ule wa wastaafu.
 
Kideo chao kile feki kimeungwa ungwa tu.
Upinzani wao kuumizana na kusubiri kuomba pesa za mtibabu watanue nazo.

Lissu atakapo pona atakuwa amewajua.. dereva wakusaidia eti mnamfichia Kenya!!.. ha haaaa kuogopa atawatumbua... hao waondoshwe huko Kenya wanaweza kumdhuru mgonjwa zaidi
Ni watu hatari kisa kiki za siasa zisizo na ubunifu kabisaaaaa.

Familia wafukuzeni hao waliomtenda..
kufa na lichama lako ccm usituchawie hapa
 
Kideo chao kile feki kimeungwa ungwa tu.
Upinzani wao kuumizana na kusubiri kuomba pesa za mtibabu watanue nazo.

Lissu atakapo pona atakuwa amewajua.. dereva wakusaidia eti mnamfichia Kenya!!.. ha haaaa kuogopa atawatumbua... hao waondoshwe huko Kenya wanaweza kumdhuru mgonjwa zaidi
Ni watu hatari kisa kiki za siasa zisizo na ubunifu kabisaaaaa.

Familia wafukuzeni hao waliomtenda..
hqdefault.jpg
 
Wao wangepinga Zama kumrekodi Boss
Kwani faragha ipi ya DC imevunjwa pale?
Nani alirekod video ya Lwakatare na Ugaidi?
Na mwigool akasema ana ushahidi wa Mbingunina ardhini
 
Back
Top Bottom