Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 1,736
- 6,796
Kuna Clip ya RC Chalamila anasifia mazishi ya waislamu. Pale RC kiukweli kasema ukweli mtupu.
Nakumbuka siku moja nilihudhuria mazishi ya muislamu mmoja mtaani kwetu, huyo marehemu alikua ni mtu mkubwa kdg na anafahamika hvyo kwenye mazishi alikuwepo Shehe mkuu wa msikiti wa pale mtaani, Shehe mkuu wa wilaya nadhan na shehe mkuu wa mkoa.
Baada ya kufanya ibada zao, Shehe wa wilaya alifanya tafsiri kdg ya swala ilofanywa pale, sababu pale kabla kuna mzee mmoja alichuchumaa pembeni ya kaburi akaanza kutamka maneno ambayo ni kama swala hv lkn kwa kiarabu. Kumbe ile nadhan huwa ni sura kwenye Quran.
Yule shehe alisema kwamba siku ukifa, Mungu atamtuma malaika wake na utaulizwa hapa duniani uliabudu nini?
Je uliabudu tamaa zako na kuzisikiliza kila zinachokusukuma unafanya?
Au uliabudu pesa zako, ukafanya zikusahaurishe kila kitu?
Au uliabudu wadhifa wako?
Au ulimuabudu Muumba wako?
Yule shehe alienda mbalu akasema pia hawa watu wanaotetea mambo ya ushoga kwa kisingizio cha haki za kibinadamu wakumbuke pia kuna haki za Mungu, kama haki ya binadamu inaenda kinyume na haki ya Mungu basi huo ni ubatili.
Mwisho nilitoka pale nimenywea sana, mwezi mzima nilinyooka kwa mafundisho nilopata pale
Nakumbuka siku moja nilihudhuria mazishi ya muislamu mmoja mtaani kwetu, huyo marehemu alikua ni mtu mkubwa kdg na anafahamika hvyo kwenye mazishi alikuwepo Shehe mkuu wa msikiti wa pale mtaani, Shehe mkuu wa wilaya nadhan na shehe mkuu wa mkoa.
Baada ya kufanya ibada zao, Shehe wa wilaya alifanya tafsiri kdg ya swala ilofanywa pale, sababu pale kabla kuna mzee mmoja alichuchumaa pembeni ya kaburi akaanza kutamka maneno ambayo ni kama swala hv lkn kwa kiarabu. Kumbe ile nadhan huwa ni sura kwenye Quran.
Yule shehe alisema kwamba siku ukifa, Mungu atamtuma malaika wake na utaulizwa hapa duniani uliabudu nini?
Je uliabudu tamaa zako na kuzisikiliza kila zinachokusukuma unafanya?
Au uliabudu pesa zako, ukafanya zikusahaurishe kila kitu?
Au uliabudu wadhifa wako?
Au ulimuabudu Muumba wako?
Yule shehe alienda mbalu akasema pia hawa watu wanaotetea mambo ya ushoga kwa kisingizio cha haki za kibinadamu wakumbuke pia kuna haki za Mungu, kama haki ya binadamu inaenda kinyume na haki ya Mungu basi huo ni ubatili.
Mwisho nilitoka pale nimenywea sana, mwezi mzima nilinyooka kwa mafundisho nilopata pale