POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,400
city Sport Lounge, mgahawa uliopo katikati ya jiji la Dar, mtaa wa Samora/Azikiwe, kwenye round about ya askari, umekuwa ni kero sana kwa sasa, kila mara hakuna umeme, ama mafundi kila siku wanatengeneza,
YES, watu hupenda kufika pale kupata moja moto moja bariiiidi lakini mnatu-bore
CC Tusker Bariiiidi
YES, watu hupenda kufika pale kupata moja moto moja bariiiidi lakini mnatu-bore
CC Tusker Bariiiidi