Pomboo
Senior Member
- Jun 8, 2010
- 152
- 45
Hakuna lolote hapo....yaani Wanyamwezi wahangaike na kukosa usingizi kisa kanchi kadogo na maskini ka kutupwa kaitwako Tanganyika/ Tanzania....I'm not buying it.....
Hawa jamaa wana ujasusi wa muda mrefu na tanganyika inajulikana tokea enzi ya Mjerumani kuhusu natural resources, na wao hawana masikhara ni exploit tu tena vibaya! Jiulize interest ya karibuni ya Marekani Tanzania inatokea wapina kama Africa ingekuwa imeungana ingekuwa ngumu ku infiltrate, same old rule, DIVIDE AND CONCUR