Nyani Ngabu naona umeamua tu kubisha. Ila fuatilia utajiri wa dunia hii ni nani wameushikilia. Angalia vitu ulivyonunua na huduma unazolipia (yaani brands) jiulize vinamilikiwa na nani? Na kabla hujaspend hela jiulize unacholipia ni nani haswa anayefaidika.
Brands hazijustify sisi tuingoze siasa za TANU katika uendeshaji wa mashirkia ya umma kiasi cha kuyaua