CIA: Crown Prince Ordered Khashoggi's Assassination

CIA: Crown Prince Ordered Khashoggi's Assassination

Hata Urusi na North korea nao aliwadukua sio...?
Naona unataka kuleta ligi kwenye dunia ya sasa ya ujasusi na udukuzi kila taifa kubwa hufanya udukuzi..NSA na CIA hufanya hivyo kwa mataifa yote ndio maana tunaona CIA ikifika kipindi fulani huachia nyaraka za siri za taifa fulani za miaka 30 nyuma nk..

Sina shaka na hilo wote hao urusi na North korea wanadukuliwa na wamedukuliwa sababu hakuna system yeyote iliyo salama 100%
 
Kuna picha moja imeleakishwa kule twitter,
lijamaa moja limevaa kama daktari,koti jeupe,ameshika msumeno wa kukatia mifupa,bonesaw mkononi,kisha kwa chini kuna vipande vya nyama ,halafu kuna box la mbao liko wazi nadhani likisubili kuwekwamo hivyo vipande vya kashoggi,

Trump anafanya juu chini kumwokoa MBS,tatizo vyombo vya habari vimekaza na pia baadhi ya member wa congress,
baada ya kubanwa sana Trump anadai atakuwa na majibu sahihi ndani ya siku mbili,

MBS ni katili sana wala humlinganishi na kina Saddam,huyu ni mnyama,
miezi miwili iliyopita walimkosakosa kumuua,yeye na babake wakakimbilia sultan airbase ambayo ni base ya wamarekani,
Mbs analindwa na mamluki wa Blackwater,hawa ni security contractor wanaongozwa na mmarekani Erick prince.
Mbs yuko karibu sana na jerald kuchner,mkwe wa Trump,
kuna kipindi huyu kijana aliwahi kufiriska,Mbs akampa pesa za kutosha kurudi kwenye biashara,
fununu zinadai MBS anamla kuchner
anamla nn
 
..Trump anafanya juu chini kumwokoa MBS,tatizo vyombo vya habari vimekaza na pia baadhi ya member wa congress,
baada ya kubanwa sana Trump anadai atakuwa na majibu sahihi ndani ya siku mbili..

Trump calls CIA assessment of Khashoggi murder premature but possible

"..The CIA had briefed other parts of the U.S. government, including Congress, on its assessment, sources told Reuters on Friday, a development that complicates Trump's efforts to preserve ties with the key U.S. ally.."
 
Kuna picha moja imeleakishwa kule twitter,
lijamaa moja limevaa kama daktari,koti jeupe,ameshika msumeno wa kukatia mifupa,bonesaw mkononi,kisha kwa chini kuna vipande vya nyama ,halafu kuna box la mbao liko wazi nadhani likisubili kuwekwamo hivyo vipande vya kashoggi,

Trump anafanya juu chini kumwokoa MBS,tatizo vyombo vya habari vimekaza na pia baadhi ya member wa congress,
baada ya kubanwa sana Trump anadai atakuwa na majibu sahihi ndani ya siku mbili,

MBS ni katili sana wala humlinganishi na kina Saddam,huyu ni mnyama,
miezi miwili iliyopita walimkosakosa kumuua,yeye na babake wakakimbilia sultan airbase ambayo ni base ya wamarekani,
Mbs analindwa na mamluki wa Blackwater,hawa ni security contractor wanaongozwa na mmarekani Erick prince.
Mbs yuko karibu sana na jerald kuchner,mkwe wa Trump,
kuna kipindi huyu kijana aliwahi kufiriska,Mbs akampa pesa za kutosha kurudi kwenye biashara,
fununu zinadai MBS anamla kuchner


Kushner alianza kujiweka mbali na MBS toka fununu za kushilikiswa kwenye mauaji zianze. Sijui wataliepuka vipi hili..
 
Kuna picha moja imeleakishwa kule twitter,
lijamaa moja limevaa kama daktari,koti jeupe,ameshika msumeno wa kukatia mifupa,bonesaw mkononi,kisha kwa chini kuna vipande vya nyama ,halafu kuna box la mbao liko wazi nadhani likisubili kuwekwamo hivyo vipande vya kashoggi,

Trump anafanya juu chini kumwokoa MBS,tatizo vyombo vya habari vimekaza na pia baadhi ya member wa congress,
baada ya kubanwa sana Trump anadai atakuwa na majibu sahihi ndani ya siku mbili,

MBS ni katili sana wala humlinganishi na kina Saddam,huyu ni mnyama,
miezi miwili iliyopita walimkosakosa kumuua,yeye na babake wakakimbilia sultan airbase ambayo ni base ya wamarekani,
Mbs analindwa na mamluki wa Blackwater,hawa ni security contractor wanaongozwa na mmarekani Erick prince.
Mbs yuko karibu sana na jerald kuchner,mkwe wa Trump,
kuna kipindi huyu kijana aliwahi kufiriska,Mbs akampa pesa za kutosha kurudi kwenye biashara,
fununu zinadai MBS anamla kuchner
Jared Kushner.
 
undefinedTrump ana wakati mgumu sana,undefinedhuyo prince anatakiwa kustepdown kwanza kabla ya yote,undefinedundefinedsubiri sasa senema ya kubadili ukweli kuwa uongo
Andika kwa utulivu acha papara.Tatizo umejaa chuki hadi kutulia huwezi.
 
Kuna picha moja imeleakishwa kule twitter,
lijamaa moja limevaa kama daktari,koti jeupe,ameshika msumeno wa kukatia mifupa,bonesaw mkononi,kisha kwa chini kuna vipande vya nyama ,halafu kuna box la mbao liko wazi nadhani likisubili kuwekwamo hivyo vipande vya kashoggi,

Trump anafanya juu chini kumwokoa MBS,tatizo vyombo vya habari vimekaza na pia baadhi ya member wa congress,
baada ya kubanwa sana Trump anadai atakuwa na majibu sahihi ndani ya siku mbili,

MBS ni katili sana wala humlinganishi na kina Saddam,huyu ni mnyama,
miezi miwili iliyopita walimkosakosa kumuua,yeye na babake wakakimbilia sultan airbase ambayo ni base ya wamarekani,
Mbs analindwa na mamluki wa Blackwater,hawa ni security contractor wanaongozwa na mmarekani Erick prince.
Mbs yuko karibu sana na jerald kuchner,mkwe wa Trump,
kuna kipindi huyu kijana aliwahi kufiriska,Mbs akampa pesa za kutosha kurudi kwenye biashara,
fununu zinadai MBS anamla kuchner
Jared Kushner yule Mme wake Ivana Trump?

No wonder jamaa ana mambo ya kimama japo ni Sr. advisor kwa trump!
 
The CIA is late to the party on this one.

Most of the world already knew this and credit should go precisely where it belongs: the Turkish government.

No high profile person like Jamal Khashoggi would get killed in his country’s consulate without the blessings and knowledge of the upper echelons of his country.

I’ve believed the Turks all along.

This CIA report/ assessment says nothing new that wasn’t known before.
 
Waarab bwana, kwa unafiki wa kuzungukana hakuna zaidi yao dunia hii. Zitto angekuwa anaishi huko, angesaulika mda mrefu sana kwa usaliti wake.
 
Hii assassination ni moja ya mipango ya hovyo sana kuwahi kutokea. Yaani baada ya kuzima CCTV camera, kuukatakata mwili & kuuyeyusha kwa acid na kudeploy decoy ionekane Kashoggi alitoka nje, walidhani wameshamaliza mchezo. Sijui walisahau au hawakujua jamaa alimuacha nje mchumba wake?
 
Back
Top Bottom