Naogopa anaweza hata akamuua babake ili awahi kiti mapema!Hawa waarabu ni bogus sana kwani inaonekana walitaka waanzishe huu mchezo wa kuua wale "Dissidents" walio uhamishoni kwa njia hii waliyotumia dhidi ya Kashoggi na hao Dissidents wamekua wakiogopa kwenda kwenye balozi zao huko waliko hata kama wana shida.
Huyu Mohammed Bin Salman, kama atapona kwenye hii kadhia na baadaye amrithi baba yake, ni wazi kuwa atakuwa mtawala katili sana mithili ya akina Saddam kwani ni mtu asiyekubali kabisa kukosolewa.