CIA: Crown Prince Ordered Khashoggi's Assassination

CIA: Crown Prince Ordered Khashoggi's Assassination

N

Na hii ishu ya kuwatumia wafungwa wanaotumikia makosa makubwa imekuwa new trending crime.. Naskia ni mbinu inayotumika sana kwenye black ops kama hizo..

Kabisa.

Inasemwa kwamba wanaamini hii njia ni "cost effective" na inaokoa muda na mambo mengi.
 
Hatuwezi kushindana na wazungu, inasemekana kwamba ili umpigie mtu simu na apokee lazima kwanza ifike marekani halafu ndo irudi kwa huyu unayempigia hata kama utakua umekaa nae hapo hapo ulipo.


Khaa! 😳😕🙁
 
Interesting!

Hapa Itakuwa Politics Vs Human rights.

Hiyo yaitwa "window dressing" ndicho kinachofanywa, yaani Marekani inavyopuuzia matendo mabaya ya Saudi Arabia kwa kisingizio wa ushirikiano bora.

Mwaka jana tu watu 150 waliuawa kwa kukatwa kichwa nchini humo kwa makosa mbalimbali.

Pia waandishi wa habari 30 hadi hivi sasa wapo magerezani au mahabusu na wengine wamepotea katika mazingira ya kutatanisha.
 
CIA wapuuzi wanasikiliza maongezi yote ila wanatoa pale wanapotaka.

MBS hatawekewa vikwazo ila kazi anayo

Gina Haspel nimemkubali yule mama...

CIA tusaidie tuwajue watekaji wa Mo
Waliotoa order ya kuuawa kwa Lissu
Ben Saanane...

Consulate zote zina encrypted phones ila wababa wanabeba mawasiliano
 
CIA wapuuzi wanasikiliza maongezi yote ila wanatoa pale wanapotaka.

MBS hatawekewa vikwazo ila kazi anayo

Gina Haspel nimemkubali yule mama...

CIA tusaidie tuwajue watekaji wa Mo
Waliotoa order ya kuuawa kwa Lissu
Ben Saanane...

Consulate zote zina encrypted phones ila wababa wanabeba mawasiliano


Wana access na wanaweza kupata access ya habari sehemu nyingi ambapo kuna uonevu wa haki za binadamu unaendelea.

Lakini sehemu, ama nchi zenye Dau kubwa ndio kunamulikwa zaidi.
Wakina sisi na utekaji wa kila leo unaoendelea, unaishia kupigiwa kelele kwenye media.
Then tunaachwa tupambane wenyewe na hali zetu..
 
Wana access na wanaweza kupata access ya habari sehemu nyingi ambapo kuna uonevu wa haki za binadamu unaendelea.

Lakini sehemu, ama nchi zenye Dau kubwa ndio kunamulikwa zaidi.
Wakina sisi na utekaji wa kila leo unaoendelea, unaishia kupigiwa kelele kwenye media.
Then tunaachwa tupambane wenyewe na hali zetu..
Mkuu umenena. Sisi ni nyoka wa kijani hata hatuna madhara kwa wakubwa wa dunia. Sana sana wanakuja wanatupiga biti kidogo na sera yao ya ushoga ili tunapolegea wachote dhahabu na kusepa zao. Tunapoamka tunatafutiwa kisa kingine tupigwe mkwara tulegee wachukue faru john. Sisi ni dagaa mbele ya papa. Tukiumwa hakuna anaejali labda kaugonjwa hako kaonekana kuzuia maslahi yao ndo tutasaidiwa dawa. MO katekwa au tundu lisu kapigwa risasi kwao si ajenda. TUPAMBANE NA HALI YETU.
 
Ina maana viongozi wa nchi zingine za.dunia hawajajua kuwa mawasiliano yao yanadukuliwa na US ili wajilinde? Au hawana mbinu?
 
Sasa CIA wameshatoa tuhuma nzito kwamba yeye ndiye aliyeamrisha Khashoggi auawawe.. Hii ni diplomatic crisis kubwa sana sijui litaishaje!
Aibu kwa mr.presdaa DONALD... maana yeye anatetea uhusiano wake na riyadh kibiashara..
Cia hawajali hilo.. wamekinukisha...
Sasa hapo me ndio nashindwaga kuelewa hawa US wanavyocheza na akili za ulimwengu..
Taasisi zipo huru kusema ukweli bila kujali mkuu wa nchi husika anatakaje..!!
 
Marekani imeamua kuwawekea vikwazo vya kiuchumi watu 17 ambao ndo wametolewa kama mbuzi wa kafara.

Humo wamo mshauri wa zamani bwana Saud al-Qahtani, mshauri mwandamizi Maher Mutreb, na balozi wa Riyadh mjini Istanbul bwana Mohammed al-Otaibi.

Lakini yule Mmatumbi meja jenerai Mohammed al-Assiri ambae aliwahi kuwa naibu mkuu wa idara ya usalama ya Saudi Arabia yeye amepona na hataguswa.

Al Assiri yupo kwenye "inner circle" ya mwana mfalme na ni mwanajeshi wa ngazi za juu kabisa kwenye jeshi la nchi hiyo.

Kuna uwezekano mkubwa kabisa kwamba hao wauaji walikuwa ni wafungwa wa makosa makubwa kama ya mauaji na walitumiwa kwa kazi hiyo ambayo iliratibiwa na hao niliowataja hapo juu, ingawa hakuna ushahidi.

Hivyo wafungwa hao inawezekana wanasubiri kunyongwa kabisa kumaliza kazi na maisha yataendelea.
""Kuna uwezekano mkubwa kabisa kwamba hao wauaji walikuwa ni wafungwa wa makosa makubwa kama ya mauaji na walitumiwa kwa kazi hiyo ambayo iliratibiwa na hao niliowataja hapo juu, ingawa hakuna ushahidi.

Hivyo wafungwa hao inawezekana wanasubiri kunyongwa kabisa kumaliza kazi na maisha yataendelea.""


Mkuu kuna kitu nimekuelewa hapo...kwenye hiyo comm'nt yako.. na ndio maana unakuta mission imefeli kabisa kutokana na kukosa uweledi.. lakini hata hivyo mpango si uliratibiwa na "inner cycles" wa MBS ...(kwa mujibu wa cia)..imekuwaje mpango upangwe kizembe namna ile ..??..
 
Back
Top Bottom