Trump anamtetea mfalme kwa nguvu zake zote kwa sababu za kiuchumi (mafuta).Sasa CIA wameshatoa tuhuma nzito kwamba yeye ndiye aliyeamrisha Khashoggi auawawe.. Hii ni diplomatic crisis kubwa sana sijui litaishaje!
Shkamoo Pesa walahiHiyo yaitwa "window dressing" ndicho kinachofanywa, yaani Marekani inavyopuuzia matendo mabaya ya Saudi Arabia kwa kisingizio wa ushirikiano bora.
Mwaka jana tu watu 150 waliuawa kwa kukatwa kichwa nchini humo kwa makosa mbalimbali.
Pia waandishi wa habari 30 hadi hivi sasa wapo magerezani au mahabusu na wengine wamepotea katika mazingira ya kutatanisha.
Trump anamtetea mfalme kwa nguvu zake zote kwa sababu za kiuchumi (mafuta).
Hii assassination ni moja ya mipango ya hovyo sana kuwahi kutokea. Yaani baada ya kuzima CCTV camera, kuukatakata mwili & kuuyeyusha kwa acid na kudeploy decoy ionekane Kashoggi alitoka nje, walidhani wameshamaliza mchezo. Sijui walisahau au hawakujua jamaa alimuacha nje mchumba wake?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahah!, Haki wewe! 😀
Anamla topeanamla nn
aaah jaman sio poaAnamla tope