janja pwani
Senior Member
- Jul 27, 2011
- 104
- 9
Alikuwa akitokea msoga kula sikukuu ambapo dereva tax mmoja aliingilia msafara, kilichosaidia ni utulivu wa dereva tax huyo kutulia upande wa kulia kwake na gari zilipita salama, Dereva tax huyo amepigwa pingu na askari wameondoka nae, hiyo ni taarifa kwa wanajf, nawasilisha.