Nilijua tu majibu kama haya hayata kosekana lol!Chupi ina umuhimu kama huujui muulize mwanamke wako,dada yako au mama yako!!...sie wengine ungetuachaaa..
Wewe unavaa huvai?Huo umuhimu wake ndo ningependa unijuze, sina mama, sina dada, sina mwanamke...
Chupi hutunza heshima zetu.
umuhim wa chupi ni sawa na unapo zuia kitumbua kisiingie mchanga kwa kufungiwa kwenye karatasiHivi kazi ya chupi kwa kina dada ni nini?
Ukiivaa haionekani na usipoivaa haionekani
Ukikaa vibaya ikionekana tu, utaskia 'umekaa uchi!'
Ukikaa vibaya isipoonekana, utaskia 'umekaa uchi'
Je kuna umuhimu gani kuivaa au kutoivaa?
Hivi kazi ya chupi kwa kina dada ni nini?
Ukiivaa haionekani na usipoivaa haionekani
Ukikaa vibaya ikionekana tu, utaskia 'umekaa uchi!'
Ukikaa vibaya isipoonekana, utaskia 'umekaa uchi'
Je kuna umuhimu gani kuivaa au kutoivaa?
Ina maana kwa kiswahili chepesi hapa unasema nyeti za wanawake ni chafu kiasi ambacho inabidi zifunikwe ili zisichafue nguo zao? Tobaaaa!lakini kumbuka maumbile ya kike yana unyevu fulani 24/7, hivyo chupi huzuia nguo ya nje kuchafuka.
Ina maana kwa kiswahili chepesi hapa unasema nyeti za wanawake ni chafu kiasi ambacho inabidi zifunikwe ili zisichafue nguo zao? Tobaaaa!
Zamaani ndo ilikuwa na umuhimu kutokana na shughuli za mwanadamu kwani chupi hizo zilikuwa kama bukta!!kwa wanawake leo haina maana kwa mwanamke maana wanavaa kama kamba!sasa hizi kamba zinasaidia nini??useless in particularly! HEART, Mlachake, mzabzab, Father of All, Baba VHuo umuhimu wake ndo ningependa unijuze, sina mama, sina dada, sina mwanamke...
Hivi kazi ya chupi kwa kina dada ni nini?
Ukiivaa haionekani na usipoivaa haionekani
Ukikaa vibaya ikionekana tu, utaskia 'umekaa uchi!'
Ukikaa vibaya isipoonekana, utaskia 'umekaa uchi'
Je kuna umuhimu gani kuivaa au kutoivaa?
Sasa kama ni nafasi basi si wasingevaa kabisa ili nafasi iwe ya kumwaga?LOLWanaume huvaa boxer sio chupi! Hii ni kwa ajili ya kuipa nafasi dushelele ipate nafasi ya kuwika anytime..!
Chumvini mie basi...Inaelekea hujawahi kuwa na contact na nyeti za kike. Sijasema uchafu, nimesema unyevu. Hutofautiana rangi kutegemeana na siku kwahiyo inaweza kuacha doa kwenye nguo.
Is this a serious comment? If not, please grow up.
Zamaani ndo ilikuwa na umuhimu kutokana na shughuli za mwanadamu kwani chupi hizo zilikuwa kama bukta!!kwa wanawake leo haina maana kwa mwanamke maana wanavaa kama kamba!sasa hizi kamba zinasaidia nini??useless in particularly! HEART, Mlachake, mzabzab, Father of All, Baba V