Chupi kwa kina dada- tuijadili...

[h=1]
100 years of evolution of female underwear[/h]
 

Attachments

  • 100-years-female-underwear-evolution.jpg
    100-years-female-underwear-evolution.jpg
    8 KB · Views: 63
'G string' aka 'Thong' ndo mpango mzima. huhitaji kupandishwa ashki. Akichojoa tu pamba zake, unajisikia uko dunia nyingine.
Hii ndo kazi ya pichu bana!
samahani lkn kwa wale dada zetu wenye kuvaa bukta, hapo pichu haina kazi.
 
mhm huyu honeybed anaobngelea sana hii topic...unapenda sana chupi nini? wapenda color gani na aina gani?
 
chupi husaidia kuhifadhi sehemu nyeti kutoonekana ovyo na kulinda sehemu hizo zisipate madhara yanayoweza kuepukika kama mavumbi na vingine vinavyohusiana na hivyo. sababu za kijamii husaidia kupunguza mtikisiko wa makalio au muonekano wa haraka wa eneo husika. zipo chupi za aina nyingi kutokana na matumizi ya wakati huo na wakati wenyewe.

tatizo letu wadada chupi zinaanza kuvaliwa pasipo kufwata taratibi na maana husika za usiku tunavaa mchana za chumbani tuna vaa nje. na huu ni ushamba tu ama kutokujua matumizi sahihi ya wapi zinatakiwa kuvaliwa zipi.

usiku uvae chupi tena!!! kha!!! papuchi itapumua saa ngapi?
 
Hizo kamba (g strings /thongs) zilitengenezwa ili kuzuia kuonekana kwa pantyline. Yaani ile ilastic ambayo saa zingine inaweza kubana ngozi , matokeo yake unaona kabisa chupi ilipo na jinsi ilivobana vinyama vyako makalio. G string huzuia hiyo kitu kutokea KAMA ukivaa size yako. Unakuwa na protection hapo mbele bila pantyline huko nyuma.

See below

vplll.jpg

duh, mbona wengine kama wamevaa nepi za watoto atii?
 
hvi hii mada inahusu nini?? halafu kwan ijadiliwe ya kike tu na sio ya kiume?? ptuuuuuuu
 
kwa chupi ina muhimu sana kwa dada zetu fikiria tu dada zetu wako tofauti kimaumbile haswa wanapokuwa kwenye siku zao unategemea nini kama wasingevaa chupi? wenzetu ni tofauti wakati mwingine kuna maji maji yanatoka huko chini bila chupi ni aibu sana sisi hatuna buguza kwenye swala la chupi
 
Wanaume huvaa boxer sio chupi! Hii ni kwa ajili ya kuipa nafasi dushelele ipate nafasi ya kuwika anytime..!
Iwe boxer, wrestler, footballer zote ni chupi tu.
In english, the undergarments or simply put underware, a.k.a pants!
 
Back
Top Bottom