ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
nasikitika kukujulisha kuwa wewe na mkeo na huyo mpangaji mwenzako, woote ni mazuzu magic.
Let the chupi rest in peace, kaihifadhi sandukuni mwako, mkeo akirudi umwambie ulikuwa ukiiombea hiyo chupi ya huyo mpangaji mwenyewe ili pepo wa mitego amtoke, na kimashine cha kuburudisha MBOZI cha mdada huyi kizibe kabisa.
taratibu buji!