Chupi imeleta kizaazaa

Chupi imeleta kizaazaa

mbona kama hadithi ya kutunga hii...
 
Na wewe ulikosea, chu.pi haikuhusu ya nini kuhangaika nayo?. si ungeiacha tu hapo chini.....Na ulijuae ni ya huyo msichana jirani yako?? Mkeo ana haki ya kukushuku!
 
mwenzio yamenikuta wewe unajitoa MUHANGA kwa kejeli hizi? Nalog off

sio kejeli bro, ila najaribu kupiga picha the whole story hd unafumwa 'unasuuza' chupi ya mtu ukweli its like a movie flan ivi. Back to topic, hayo naweza kusema umeyataka mwenyewe, pamoja na utata wooote uliokuwepo already kuhusu huyo bi dada, still unakuwa na guts za kumsuuzia chupi? ni bora ungeiokota na kuitundika kama ili vyo, yule dada angejua tu kuwa ilidondoka na ni bahati mbaya. wewe muombe tu radhi mkeo, mfuate kwao ukazungumzie nae hakuna lisilo kwisha halafu tafuta nyumba nyingine uhame hapo ulipo ili at least kuonyesha kuwa umejutia yaliyotokea.
 
Duh, inatia kichefu, why ufue, ungeiweka tu palepale
 
Story hii niliisoma kwenye gazeti la uwazi tarehe 21/02/1999.(swali kwa waliioa tu)
Kama ulisoma basi mie ndio yameshanikuta mwenzio,subiri yakukute ndio utajua kama ni uwazi au uliofunikwa.Mwenzio akiwa ananyolewa wewe tia maji. Nalog off
 
Kwani umemkaribisha kwenye kampuni yako ya Udobi wa chupi za wananawake wooote hapo mtaani? Ana uwezo wa kuhesabu vidole vyake vya mikononi kwa hiyo hawezi fanya hivyo. Hii ni kwa mtu asiyeweza hesabu vidole vyake tu.
Duh! Nalog off
 
Kweli huyu ndo Washawasha... Yaan mpaka unafua nguo ya ndan ya mwanamke asiye wako mmh? Ili iweje sasa na ulijuaje ni ya huyo mdada kama hujawah kuiona? Tabia hii sio njema kbsa.... Hebu jiulize kama ni ww unamkuta my wife anafua boksa sio yako? Nalog of
Sikuifua mkuu niliisuuza baada ya kuangukia ktk yale maji machafu niliyoyakoga. Nalog off
 
Pole sana ngosha; ngoja nikupe some pointers.

Ulifanya makosa yafuatayo:

a. Uliangalia chupi ya mtu asiye mkeo/mpenzio mara mbili - hili ni kosa ambalo wanaume wasio na watu wanaruhusiwa kulifanya lakini ukiwa na mtu wako chupi ya mwingine huikodolei mara mbili hata ikiwa imetundikwa dukani!

b. Uliifuatilia sana. Chupi ya watu ilikuwa imetundikwa muda wote huo isianguke lakini ije kuanguka wakati wewe umeenda bafuni. Hapa mkeo machale yamemcheza kiuhakika. Ni rahisi kujua kilichotokea. Ulijaribu kuiangalia ile chupi katika kile kinachoitwa "up close and personal" matokeo yake ukaitia mapovu yako na (I hope siyo kitu kingine) Ni baada ya kugundua kosa lako ikabidi uifue na hapo ndipo ulipofanya kosa la tatu.

c. Kumwambia mkeo kisingizio ambacho hakina kichwa wala miguu.

Kwa hiyo - nenda ukiri kwa mkeo kuwa "shetani alikupitia" wala usiniulize kwanini akupitie wewe na kwanini akupitie bafuni na sema tu ulikuwa 'curious' kujua kama ilikuwa ni chupi ya Kichina au kitu kingine. Na ukiri kuwa kwa kweli kabisa hutorudia tena na ili kusalimisha ndoa yako umeamua kutafuta mahali pengine pa kuishi na siyo kupanga tena Uswahilini.

ILA NINA SWALI LA UGOMVI: Huyu dada jirani ambaye anafua chupi yake na kutundika kwenye bafu la jumla alikuwa anafikiria nini kama siyo kukutega na wewe ukategeka. Tuliowahi kuishi Uswahili tunajua mambo yanavyofanyika; binti akifua nguo yake hiyo maridadi hutoka nayo akiwa ameificha kabisa (kumbuka si ruhusa kuona hiyo nguo kwa mtu ambaye haoni vilivyo chini yake) na huingia nayo ndani na huko ndani mara nyingi hufichwa kwenye kingo za kitanda au juu ya nguo nyingine. Haiachwi hovyo hovyo. Kwa ufupi.. mimi nahisi ilikuwa ni signal ambayo wewe ULIITIBUA.

I'll log back in!
 
Pole sana ngosha; ngoja nikupe some pointers.

Ulifanya makosa yafuatayo:

a. Uliangalia chupi ya mtu asiye mkeo/mpenzio mara mbili - hili ni kosa ambalo wanaume wasio na watu wanaruhusiwa kulifanya lakini ukiwa na mtu wako chupi ya mwingine huikodolei mara mbili hata ikiwa imetundikwa dukani!

b. Uliifuatilia sana. Chupi ya watu ilikuwa imetundikwa muda wote huo isianguke lakini ije kuanguka wakati wewe umeenda bafuni. Hapa mkeo machale yamemcheza kiuhakika. Ni rahisi kujua kilichotokea. Ulijaribu kuiangalia ile chupi katika kile kinachoitwa "up close and personal" matokeo yake ukaitia mapovu yako na (I hope siyo kitu kingine) Ni baada ya kugundua kosa lako ikabidi uifue na hapo ndipo ulipofanya kosa la tatu.


Na log in, ...wakati uleee balehe inatuingia zama zile, ukiona shimo lililochimbika ardhini kutokana na mkojo wa kike "unafeel ku-log in" kwenye tundu uliloliona ardhini..ni kisa cha yule dereva wa kisomali aliefikiri "u-david cameron" baada ya kuona kinyesi kikubwa cha kiume kichakani. akatamani angekuta lile kalio lililojipinda na kuacha kile kinyesi .. Nalog off
 
Back
Top Bottom