Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,948
- 13,378
- Thread starter
- #201
Nilikuwa nakoga halafu ile chu pi ikaangukia ktk yale maji baada ya kujimwagia. Nimejua ni ya kwake kwasababu ni G-string na yeye yuko peke yake kwa sasa. Nalog offL.o.l.... tuachane na bifu la wife... wewe ulitoka wapi kushika michupi ya watu, wewe huna kinyaa! Na ulijuaje ni ya huyo bibie...