Kwahiyo unanishauri,niombe kazi kwa huyu binti? Nalog offKakimbia lindo? Mbona rahisi! Fimbo ya mbali haiui nyoka. Utaratibu wa kutumia iliyo karibu uendelee. Si ameyataka mwenyewe. Nawashangaa wanaokimbia mali zao badala ya kuzilinda.
Bado sijamuomba kazi,vp unanishauri niombe kazi? Nalog offhahahha washa washa inaelekea huyu binti jirani yako ulisha mu-washawasha?nalog off
Nimeshaanza kununua mabati,halafu nitafute kiwanja. Nalog offWashawasha nakushauri ukusanye nguvu nyingi, ujenge nyumba yako (mbali na kambi za jeshi au barabara kuu) ili uishi kwa amani na bila usumbufu. Upangaji noma, kuna siku utasuuza vitu vingine zaidi ya chupi / bikini. Nawasilisha
Subiri yakukute ndio utajua ya kuwa ni utunzi au la. Nalog offhuu ni utungaji mkuu!!!!!!!
Mkuu,sasa ni uongo au utunzi? Binafsi sina jinsi ya kukuaminisha. Nalog offUongo huu
Mkuu hii sio stori ya kutunga ni live kabisa iliyonikuta. Nalog offmkuu kama ni story ya kutunga hii kiboko ila its good, inatupa tahadhari wale tunaoishi nyumba za kupanaga tuwe makini, maana vituko vya nyumba za kupanga usipime mkuu.
Tulikuwa tunashea simu,kwahiyo yeye kachukua simu mie nimebaki na line. Nalog offKama vipi nipe namba zake nijaribu kumpa ushauri.
Mkuu next time uwe unafunga mlango!
Mlango hauna komeo mkuu,ila niliusindika. Nalog offMkuu next time uwe unafunga mlango!
Hahahaha,mlango upo mkuu ila hauna komeo. Nalog offuswazi anakoishi washawasha mlango ni wa gunia ukiingia unatupia nguo yako juu ndio kufuli!!!
Nashukuru kwa pole yako. Nalog offdah! Pole sana kiongozi,ndio ukubwa huo.