Rasib
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 395
- 46
Habari jamani wadau wa jukwaa la siasa, Wadau najua yaweza ikawa nimekosea kwa namna moja ama nyingine kupost hii khabari hapa lakini nimefikiria kwa kina wapi niiweke ili nipate msaada stahiki nikaona bora hapa maana jukwaa hili huwa lipo makini hasa kwa hoja na ushauri uliosimama.....
Mada yangu kama inavyojieleza hapo juu, mimi ni kijana niliyemaliza masomo yangu ya chuo(degree) katika chuo kikuu cha Dodoma mwaka jana, pursuing BA project planning management and community development. Na matokeo yangu yapo vizuri sana ila shida inakuja nimejaribu kuapply kazi ktk nafasi mbalimbali pale zinapotoka na hasa hizi za kimaendeleo bila mafanikio, nimefanyiwa udahili zaidi ya mara 130 bila mafanikio zaidi napoteza hela na muda wangu ulio na dhamani kubwa kwangu. Mimi kutokana na elimu yangu niliyoipata chuon nimefanikiwa kuandika bussiness plan ya kuku na nimefanikiwa kwa 75% na pia kupitia jamiiforum nimepata msaada mkubwa hasa ushauri na mambo mengine nashukuru sana kwa wajasiriamali na wachangiaji wa jukwaa hilo.
Nini hasa kinanisukuma kutaka kuapply?
Hasa ni kupata wigo mpana wa kuweza kupata nafasi ya kuimpact nilichosoma kwa jamii kupitia nafasi hiyo please njoo na ushauri ambao ni constructive na wala si destructive please and please, siyo lazima upost kama huna lakunishauri please..
Mada yangu kama inavyojieleza hapo juu, mimi ni kijana niliyemaliza masomo yangu ya chuo(degree) katika chuo kikuu cha Dodoma mwaka jana, pursuing BA project planning management and community development. Na matokeo yangu yapo vizuri sana ila shida inakuja nimejaribu kuapply kazi ktk nafasi mbalimbali pale zinapotoka na hasa hizi za kimaendeleo bila mafanikio, nimefanyiwa udahili zaidi ya mara 130 bila mafanikio zaidi napoteza hela na muda wangu ulio na dhamani kubwa kwangu. Mimi kutokana na elimu yangu niliyoipata chuon nimefanikiwa kuandika bussiness plan ya kuku na nimefanikiwa kwa 75% na pia kupitia jamiiforum nimepata msaada mkubwa hasa ushauri na mambo mengine nashukuru sana kwa wajasiriamali na wachangiaji wa jukwaa hilo.
Nini hasa kinanisukuma kutaka kuapply?
Hasa ni kupata wigo mpana wa kuweza kupata nafasi ya kuimpact nilichosoma kwa jamii kupitia nafasi hiyo please njoo na ushauri ambao ni constructive na wala si destructive please and please, siyo lazima upost kama huna lakunishauri please..