Chuo cha mipango (irdp) dodoma.

&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
mbna unawasiwasi kama unaoga nje dogo kasome, all the best.
<br />
<br />
ha ha ha ha! Naomba muongozo ili nijue mlango wa bafu n automatically au manual. Hapo kuna ubaya mkuu?
 
...... Kwa wale ambao wameshasoma au kukifahamu vizuri, naomba kunipa ushauri na maono yenu kwa mdogo wenu wakati nitapojiunga rasmi.
Nawasilisha.

mdogo wangu hapo dodoma mimi nimeishi miaka mingi sana, kuna ukimwi hapo asikwambie mtu kwa wenyeji wa hapo ndio tunaifahamu na mtaani unaambiwa tu yule pale anangoma yule vipi... usiifakamie dom mdogo wangu katika 10 wa 5 mpaka 8 si wazima tena ni under 20, watoto wa hapo hali ya uchumi ni mbaya sana japo wanapendeza na target yao huwa ni watu wazima na wanafunzi wenye mikopo... ohoooo kalagabahoooo
 
Kwanza, hongera kwa kupata nafasi ya kusoma chuo hiki, ni chuo kizuri na kipo katika mipango ya wizara chini ya OWM so hata kama matatizo yapo wanabajeti nzuri na walimu wapo, kikubwa ni kwa ww kujitambua umefuata nn na chuo sio sekondari hakuna kengele wala kiranja ni ww na akili yako, aslimia 75 ya ufahamu unautafuta mwenyewe vitabuni na rejea nyingine
 
mdogo wangu hapo dodoma mimi nimeishi miaka mingi sana, kuna ukimwi hapo asikwambie mtu kwa wenyeji wa hapo ndio tunaifahamu na mtaani unaambiwa tu yule pale anangoma yule vipi... usiifakamie dom mdogo wangu katika 10 wa 5 mpaka 8 si wazima tena ni under 20, watoto wa hapo hali ya uchumi ni mbaya sana japo wanapendeza na target yao huwa ni watu wazima na wanafunzi wenye mikopo... ohoooo kalagabahoooo
<br />
<br />
dah! Umenitisha kidogo mkuu, ila umenipa ushauru mzur km mdogo wako. Ntamcha mungu aniepushe na hao wazabizabina. Ila ww vip ulifanikiwa huo mtego wa under 20?
 
Kwanza, hongera kwa kupata nafasi ya kusoma chuo hiki, ni chuo kizuri na kipo katika mipango ya wizara chini ya OWM so hata kama matatizo yapo wanabajeti nzuri na walimu wapo, kikubwa ni kwa ww kujitambua umefuata nn na chuo sio sekondari hakuna kengele wala kiranja ni ww na akili yako, aslimia 75 ya ufahamu unautafuta mwenyewe vitabuni na rejea nyingine
<br />
<br />
mkuu Obe! Tnx kwa ushauri, vip unasoma hapo mkuu?
 
Yeeeeah kaka mi nilianza kukupa bigUP kwanza kwa kua nilijua baada wewe kuuliza ushauri utakaopata utatuhusu wote hata watakaoenda muhmbil!BIGIAPU KAKA
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
mkuu Obe! Tnx kwa ushauri, vip unasoma hapo mkuu?
<br />
<br />
 
Teh teh teh
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
dah! Umenitisha kidogo mkuu, ila umenipa ushauru mzur km mdogo wako. Ntamcha mungu aniepushe na hao wazabizabina. Ila ww vip ulifanikiwa huo mtego wa under 20?
<br />
<br />
 
Wewe nenda kama ndo unaanza darasa la awali au kidato cha kwanza ama kidato cha tano mambo yote yatafahamika tu, uctake kupata mwanga ukapotoshwa, na uhakika gani mitaala haijabadilishwa sirikali ya mjomba wakati wowote mabadiliko yanatokea, bajeti inabadilishwa, bei za mafuta bado wananchi hatuna muda mrefu, we nenda utakachokutana nacho kitakuwa halali yako!
 
Chuo kiko poa!...sema kwa umri wako itabidi ujishike sana... make pana mademu wa ukweli...BTW.. huzuiwi ku'date' ila mpango mzima kama kawaida..Otherwise..everything is OK!..
 
Wewe nenda kama ndo unaanza darasa la awali au kidato cha kwanza ama kidato cha tano mambo yote yatafahamika tu, uctake kupata mwanga ukapotoshwa, na uhakika gani mitaala haijabadilishwa sirikali ya mjomba wakati wowote mabadiliko yanatokea, bajeti inabadilishwa, bei za mafuta bado wananchi hatuna muda mrefu, we nenda utakachokutana nacho kitakuwa halali yako!
<br />
<br />
punguza presha mkuu! Kuuliza si ujinga.
 
<font size="3">Chuo kiko poa!...sema kwa umri wako itabidi ujishike sana... make pana mademu wa ukweli...BTW.. huzuiwi ku'date' ila mpango mzima kama kawaida..Otherwise..everything is OK!..</font>
<br />
<br />
shukran mkuu pumba! Kwa kufunguka.
 
mdogo wangu hapo dodoma mimi nimeishi miaka mingi sana, kuna ukimwi hapo asikwambie mtu kwa wenyeji wa hapo ndio tunaifahamu na mtaani unaambiwa tu yule pale anangoma yule vipi... usiifakamie dom mdogo wangu katika 10 wa 5 mpaka 8 si wazima tena ni under 20, watoto wa hapo hali ya uchumi ni mbaya sana japo wanapendeza na target yao huwa ni watu wazima na wanafunzi wenye mikopo... ohoooo kalagabahoooo
<br />
<br />
bora umwambie ukweli,asije akapotea
 
Kivkwel mapenz na elimu ni vitu tofa na uti (tofauti), ila ujana unatufanya tuwe wakaidi.
 
Back
Top Bottom