A
Anonymous
Guest
Wanafunzi tuliomaliza Chuo cha Mipango Dodoma mwaka jana (2025) mpaka leo hatujalipwa refunds zetu kwa waliozidisha ada na taratibu zote za kuhakiki account na majina tayari tangu tarehe 9 Januari 2026 lakini cha ajabu mpaka leo hakuna malipo.
Tukiuliza kuhusu hizo refunds, hatupewi taarifa ya kueleweka na ukiangalia mwaka 2024 baada ya mahafari walilipwa hizo refunds zao.
Tukiuliza kuhusu hizo refunds, hatupewi taarifa ya kueleweka na ukiangalia mwaka 2024 baada ya mahafari walilipwa hizo refunds zao.