Chungeni wake zenu au mademu zenu. Leo wanajeshi na walimu wamepata midhahara yao.

Chungeni wake zenu au mademu zenu. Leo wanajeshi na walimu wamepata midhahara yao.

Kama ni Malaya ni Malaya sio mpaka siku ya Mishahara mkuu
 
Hao wote uliowataja hawana hela ya kuhonga mwanamke maana mshahara wao huisha kabla hata hawajautoa benki.

Afadhali kidogo hao wavaa magwanda wakilipa vipengele vyao wanaweza kubakiwa na 'afu thelathini hadi hamsini' ya akiba ya mwezi mzima.
 
CRDB hapa ngamiani kumejaa mpaka wamekewa viti, watu wamekaa kwenye foleni nje.😂.
Kumbe wamepata leo
 
Leo mbona hata sisi wazee tunaolipwa pensheni zetu za kila mwezi na pssf tumelipwa
 
Kunguru atabaki kuwa kunguru hafugiki! Nunua samaki, nyama, maini, uwele, mahindi karanga muwekee bandan, siku akipata upenyo anasepa zake ndichi
 
Back
Top Bottom