Manifestation
Senior Member
- Jan 22, 2020
- 193
- 323
- Thread starter
- #41
Hahahahhahhah nawe unataka kujiwekaNipigie pande huyo mrembo. Naona tunaendana.
Bora huyo anajisemea ukweli kuwa mgegedo mmoja hautoshi
Hahahahhahhah nawe unataka kujiwekaNipigie pande huyo mrembo. Naona tunaendana.
Bora huyo anajisemea ukweli kuwa mgegedo mmoja hautoshi
Acha uongo hakuna starehe hapo,n kulipa fadhila tu baada ya wew kunyonywa dushePole mkuu kwahivyo vingine unahaki yakulalamika, lakini wenzio chumvini tunazama kwa starehezetu na siyo kigezo chakumfanya asikuache/kukusaliti
Bosi kumkojoza ina Raha yake, sema ukija gundua unayemzamia ni Malaya roho inauma sanaAcha uongo hakuna starehe hapo,n kulipa fadhila tu baada ya wew kunyonywa dushe
Yesu ni Mungu katika mwili na roho, hivyo Yesu ni Mungu [kwa tunaoamini hivyo].... naye hakuwahi kuoa bali aliishia kujiita mume wa wajane tu.
Sasa sii bora huyo najua anagegedwa na mie nagegeda wengine cha msingi tunapokuwa pamoja tunaburudikaHahahahhahhah nawe unataka kujiweka
CHAI.Baada ya kulipa Kodi, nauli, nywele, kila mwezi wazazi 30k Kula yake na kiusomesha wadgo zake na kujitahidi Kwa show Kali Hadi kufikia kuzama chumvini Ila bado mwanamke anakuambia yeye kazoe kuwa na wanaume wengi hawezi kuwa na bwana mmoja kabisa, hii ni baada ya kufumania zaidi ya mara tatu.
Kwakweli ni vizuri kuanza na Mungu mwenye mapenzi na sio kuvamia Tu. Nimejifunza ngoja nianze kumtumikia Mungu na kufanya kazi Kwa bidiii nitapata WA kufanana nami.
Aisee uliwezaje kufanya yote hayo na bado asikupende , pole sanaBaada ya kulipa Kodi, nauli, nywele, kila mwezi wazazi 30k Kula yake na kiusomesha wadgo zake na kujitahidi Kwa show Kali Hadi kufikia kuzama chumvini Ila bado mwanamke anakuambia yeye kazoe kuwa na wanaume wengi hawezi kuwa na bwana mmoja kabisa, hii ni baada ya kufumania zaidi ya mara tatu.
Kwakweli ni vizuri kuanza na Mungu mwenye mapenzi na sio kuvamia Tu. Nimejifunza ngoja nianze kumtumikia Mungu na kufanya kazi Kwa bidiii nitapata WA kufanana nami.
Asante, haya maisha usione MTU anakuwa mbaya, anatengenezwaAisee uliwezaje kufanya yote hayo na bado asikupende , pole sana
We ushajenga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aiseee sibora ujinge tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamjapenda wkuu
Ya maziwa kabisaCHAI.
Pole you Grasped a Gold-digger. Mnawaokotaga wapi? Wewe alikuwa hakupendi ukajitia na vishilingi vyako kulazimisha penzi. Kama hupendwi hupendwi tu usilazimishe mwisho wa siku utakataa tamaa na kuona wanawake hawafai kumbe shida iko kwako. Wewe ulidhani pesa zalo ndio zitakutoa.Baada ya kulipa Kodi, nauli, nywele, kila mwezi wazazi 30k Kula yake na kiusomesha wadgo zake na kujitahidi Kwa show Kali Hadi kufikia kuzama chumvini Ila bado mwanamke anakuambia yeye kazoe kuwa na wanaume wengi hawezi kuwa na bwana mmoja kabisa, hii ni baada ya kufumania zaidi ya mara tatu.
Kwakweli ni vizuri kuanza na Mungu mwenye mapenzi na sio kuvamia Tu. Nimejifunza ngoja nianze kumtumikia Mungu na kufanya kazi Kwa bidiii nitapata WA kufanana nami.
Wanaume maboya wa hivi wanataka kutuonesha kuwa wanawake ni wabaya. Huyu jamaa ana matatizo. Hawezi kutongoza kwa hiyo yeye akakaa hapo hapo penye mteremko akidhani vipesa vyake anavyotoa vitamlinda.Muwe mnaihurumia mioyo yenu, msiibebeshe mizigo mizito ya mapenzi kuliko uwezo wake. Ndiyo baadae mkitendwa mnaona kama Mungu hayupo upande wenu! Msiwekeze moyo kwenye mapenzi.
Huwa naumia sana kuona mwanaume mwenzangu akiumizwa au kujeruhiwa kisa mapenzi, kwasababu najua mambo mengi yatasimama kiutendaji na pia naamini wanaomtegemea ni wengi mno ukiachana na huyo aliyemjeruhi.
Hesabu hatua zako kwa kila level unayofikia. Hebu fikiria umemkamata mara 3 lakini bado unaendelea naye tu! Ndugu, hata kama ni mke wako piga chini tu, mwisho wako hautakuwa mzuri kabisa.
Alafu, hayo uliyoyataja hata kama unayafanya, si kigezo kwamba hutaachwa, wapo wengi waliachwa na wanatekeleza hata zaidi ya hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app