Chumvini na kugharamia sio kigezo cha kutulizana

Chumvini na kugharamia sio kigezo cha kutulizana

Mungu hana uzoefu na mambo ya mahusiano, hakuwahi kuoa na alitahadhalisha tuishi nao kwa akili.... ushauri gani zaidi atakupa..?
Mungu anauzoefu na Mambo yote yaliyopita, yaliyopo na yajayo, laiti ningetii sauti yake yasingenikuta
 
Yesu ni Mungu katika mwili na roho, hivyo Yesu ni Mungu [kwa tunaoamini hivyo].... naye hakuwahi kuoa bali aliishia kujiita mume wa wajane tu.
Yesu ni jina la Mungu, Ila mwili wake uliokuwa WA binadamu wa kawaida yeye ndo alikuja kutupa kweli
 
Mungu hana uzoefu na mambo ya mahusiano, hakuwahi kuoa na alitahadhalisha tuishi nao kwa akili.... ushauri gani zaidi atakupa..?
Ndio hana uzoefu na hayo mambo
Lakini tunakosea Sana tunapo form mahusiano bila kuomba msaada wake yeye atuongoze mwisho wa siku unapata mtu wa hovyo.
Naona kitu muhimu kuliko vyote ni kumuweka Mungu Kwanza katka kiIa aspect ya maishahapo ndo tutafanikiwa katika kila Jambo , that's my point.
 
Ndio hana uzoefu na hayo mambo
Lakini tunakosea Sana tunapo form mahusiano bila kuomba msaada wake yeye atuongoze mwisho wa siku unapata mtu wa hovyo.
Naona kitu muhimu kuliko vyote ni Kumuweka Mungu Kwanza katka kiIa aspect ya maishahapo ndo tutafanikiwa katika Kila Jambo , that's my point.
Umemaliza kila kitu
 
Ndio hana uzoefu na hayo mambo
Lakini tunakosea Sana tunapo form mahusiano bila kuomba msaada wake yeye atuongoze mwisho wa siku unapata mtu wa hovyo.
Naona kitu muhimu kuliko vyote ni kumuweka Mungu Kwanza katka kiIa aspect ya maishahapo ndo tutafanikiwa katika kila Jambo , that's my point.

Kwa hiyo unakiri Mungu hana uzoefu..?
 
Ana mapepo ya ngono huyo mwnye kuzoea wanaume wengi, that means humtoshelezi ww mwanaume mmoja, pole,
Huo uamuzi wa busara wa kumrudia Mungu naye atakupa mke mwema siyo mwanamke tu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kulipa Kodi, nauli, nywele, kila mwezi wazazi 30k Kula yake na kiusomesha wadgo zake na kujitahidi Kwa show Kali Hadi kufikia kuzama chumvini Ila bado mwanamke anakuambia yeye kazoe kuwa na wanaume wengi hawezi kuwa na bwana mmoja kabisa, hii ni baada ya kufumania zaidi ya mara tatu.

Kwakweli ni vizuri kuanza na Mungu mwenye mapenzi na sio kuvamia Tu. Nimejifunza ngoja nianze kumtumikia Mungu na kufanya kazi Kwa bidiii nitapata WA kufanana nami.

Nipigie pande huyo mrembo. Naona tunaendana.
Bora huyo anajisemea ukweli kuwa mgegedo mmoja hautoshi
 
Back
Top Bottom