Chumvini na kugharamia sio kigezo cha kutulizana

Manifestation

Senior Member
Jan 22, 2020
193
315
Baada ya kulipa Kodi, nauli, nywele, kila mwezi wazazi 30k Kula yake na kiusomesha wadgo zake na kujitahidi Kwa show Kali Hadi kufikia kuzama chumvini Ila bado mwanamke anakuambia yeye kazoe kuwa na wanaume wengi hawezi kuwa na bwana mmoja kabisa, hii ni baada ya kufumania zaidi ya mara tatu.

Kwakweli ni vizuri kuanza na Mungu mwenye mapenzi na sio kuvamia Tu. Nimejifunza ngoja nianze kumtumikia Mungu na kufanya kazi Kwa bidiii nitapata WA kufanana nami.
 
Pole mkuu kwahivyo vingine unahaki yakulalamika, lakini wenzio chumvini tunazama kwa starehezetu na siyo kigezo chakumfanya asikuache/kukusaliti
Hahahahah kiukweli Sioni starehe ya kwenda huko sema Kwa sababu nilikuwa nakupenda sikuona shida
 
Muwe mnaihurumia mioyo yenu, msiibebeshe mizigo mizito ya mapenzi kuliko uwezo wake. Ndiyo baadae mkitendwa mnaona kama Mungu hayupo upande wenu! Msiwekeze moyo kwenye mapenzi.

Huwa naumia sana kuona mwanaume mwenzangu akiumizwa au kujeruhiwa kisa mapenzi, kwasababu najua mambo mengi yatasimama kiutendaji na pia naamini wanaomtegemea ni wengi mno ukiachana na huyo aliyemjeruhi.

Hesabu hatua zako kwa kila level unayofikia. Hebu fikiria umemkamata mara 3 lakini bado unaendelea naye tu! Ndugu, hata kama ni mke wako piga chini tu, mwisho wako hautakuwa mzuri kabisa.

Alafu, hayo uliyoyataja hata kama unayafanya, si kigezo kwamba hutaachwa, wapo wengi waliachwa na wanatekeleza hata zaidi ya hayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom