Chumbani kwa dereva wa bajaji

Chumbani kwa dereva wa bajaji

Mida flan ya sa tano nilipanda public transport kutoka studio kwenda kinondoni B.
Gari ilikuwa na watu wachache kama wawili.
Mbele yangu alikaa dada mmjoa kavaa kiheshima sana na ni mzuri. (Model)
Akawa anahangaika sana anabana miguu anajilamba lamba lips.

Nilikaa mbele yake ikabidi nirudi siti ya nyuma niangalie kuwa anasoma nini hadi akahangaika hivyo hadi anajisahau?

Nikafanikiwa kuona anasoma riwaya ipo kwenye gazeti moja la udaku inaitwa " chumbani kwa dereva wa Bajaji"

Hii ni hatari.. Wanasaikologia mnaweza kutusaidi kuwa dada alinogewa tu na maandishi au?
Kumbe wadada nao maandishi yanawapagawisha kama wanaume.
Basi mimi nikashuka zangu B nikazama ben pub kuendelea na shughuli zangu.
Kila la heri dada. View attachment 502168

Huu ni Umbeya na umemzililisha mtoto wa watu
 
Sijaongeza hata.
Mimi najua kusoma body language sanaa.
Huyo dada wa watu ni alikuwa anahangaika sana.
Labda kama alikuwa na mambo yake ila akawa ameweka gazeti kuzuga? Ila kujibana bana miguu nako vepe?
labda alibanwa na jojo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom