Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
Mh... kweli???
mkaa wenyewe uwe unawaka bado...!:rockon:
Mh... kweli???
Bangi ni dawa tosha ya chuma ulete!
Kama hao chuma ulete wapo kwanini wasiende bank kuchukua hela tena nyingi . Baadala ya hizo elfu elfu za samaki
Kama hao chuma ulete wapo kwanini wasiende bank kuchukua hela tena nyingi . Baadala ya hizo elfu elfu za samaki
Mmmh sikuwah kuamino ila ;fanyakazi mwenzangu amechukua lilizo lwa ajili ya hili;;ana bucha za samaki sasa ikawa mauzo yanaenda tofauti na mzgo uliouzwa;;imewatokea mara sita akaamua kumweka ndugu pesa wanapokea wanaandika anaweka kwenye droo ikifka jion waliochandika kwenye daftar na pesa iliopo tofauti ikawa mara tatu lkwa ndugu sasa jamaa amepga simu baada ya kulkaa mwenyewe siku saba kwamba kuna majini yanachukua h yake nkamwambia hiyo ironleta wala usichoke ;;mm
piga maombi hapo, funika kwa damu ya yesu. halafu njoo tena hapa useme kuwa amekutendea.
damu ya yesu inapatikana wapi?
Inapatikana kwa maombi. Sali sana utakutana na damu ya YESU. ukimwamini YESU ndiye tiba pekee ya hao chuma ulete na mauzauza mengine yote.
kaka si utuwekee wote tufaidi? maana chuma ulete ni tishio hata kwenye baadhi ya baa unaenda na laki inaisha bila kujijua.Kaka ni pm nimsaidie kitu ata kaa anisahau
haaaahaa mkuu nimechekea nasikia haja kubwa na niko kwenye basi la mbagala kwanza mataa ya changombe nishaurimkuu pdidy, unataka hii dawa kwa ajili ya kusaka vipaji vipya au? Mbona wasanii uchwara wa bongo fleva kibao wamejazana tandale na mbagala na wala hawachukuliki kwa chuma ulete, bangi na unga tu unawatosha.
haaaahaa mkuu nimechekea nasikia haja kubwa na niko kwenye basi la mbagala kwanza mataa ya changombe nishauri
kwa mungu wa kweli hakuna kinacho shindikana ila makanisani vingi sana huwa vinashindikana(tafadhari naomba mnielewe vizuri)bora ya hiyo ya chuma ulete chamtoto -- kuna jamaa mke wake anatembelewa na jini mahaba!! wakiamuka kuwasha taa usiku wanakuta jini limeshafanya kazi yake; yaani ndoa ipo mashakani, kwa waganga imeshindikana; kanisani umeshindikana; yaani balaa tupu.